Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizopo mkoani Shinyanga ndizo zenye dhamana ya kutoa leseni za biashara. Unashauriwa kutembelea tovuti za Mamlaka hizo na utakuta maelezo ya huduma ya kupata leseni sehemu iliyoandikwa 'Nifanyeje'.
OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA
Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA
Simu: +255 28 2762222
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz
Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa