• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA SHINYANGA LAIPONGEZA SBF

Posted on: December 20th, 2023

BARAZA la biashara mkoa wa shinyanga liliofanyika tarehe 19 Desemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa mkuu wa mkoa limelipongeza Jukwaa la wafanyabiashara mkoa wa Shinyanga (SBF) ambalo mratibu wake ni Ndg. Mussa Ngangalas kwa kufanya vema katika maonesho yake ya 2023 lilifanyika katika viwanja vya Karena Hotel iliyopo Manispaa ya Shinyanga na kudhuriwa na wafanyabiashara mbalimbali wa ndani na nje ya mkoa wa shinyanga.

Akitoa pongezi hizi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme alisema kuwa, Jukwaa la Biashara Shinyanga limefanya kitu kizuri sana katika kuwaleta pamoja wafanyabiashara wa kada mbalimbali yaani wafanyabiashara wadogo, wa kati na wakubwa ili kutoa nafasi ya kujadili fursa na changamoto zinazoikabili sekta ya biashara kwa mkoa wa Shinyanga kwa mwanzo huu Baraza la Biashara Mkoa wa Shinyanga linawapongeza sana.

"Kwa niaba ya Baraza la Biashara Mkoa wa Shinyanga, tunawapongeza sana Jukwaa la Biasahara Shinyanga (SBF) kupitia Mratibu wa SBF Ndugu Mussa Ngangalas kwa kuweza kuandaa, kusimamja na kutekeleza maonesho yenu yaliyolenga kuwakutanisha wafanyabiashara wa kada zote ambapo wamepata fursa ya kufahamiana na kuongeza mtandao wa biashara zao, hongereni sana SBF", alisema RC Mndeme.

Baraza pia lilipata bahati ya kuhudhuriwa na Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi 2022 Bi. Anna Makinda akiwa na wataalam wake, ambapo pamoja na pongezi kwa baraza kwa kazi nzuri wanazofanya lakini nao walipata nafasi ya kuwasilisha taarifa mbalimbali za ofisi za takwimu ikiwemo matokeo ya sensa ya watu na makazi ya 2022.

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga wakatiwa kikao


Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akielezea jambo wakati wa kikao

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa