• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA LAMPONGEZA MKURUGENZI MWL. KAGUNZE

Posted on: May 6th, 2025

#Repost @shinyangamanispaa

Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Shinyanga limetoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze kwa utekelezaji wa maagizo waliotoa katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili (Oktoba – Desemba 2024/25), hususani katika kushughulikia changamoto na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Pongezi hizi zimetolewa leo Mei 6, 2025, wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu kiichoketi kwa ajili ya kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ya kata zilizopo ndani ya Manispaa ya Shinyanga ambapo madiwani wameeleza kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Mkurugenzi katika kushughulikia changamoto zilizojitokeza kwenye kata zao, ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu ya elimu, kutenga maeneo kwa ajili ya miradi ya huduma za kijamii, na kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi.

“Mambo mengi yaliyokuwa changamoto kwenye kata zetu kwa kweli yametatuliwa. Wananchi wetu wanafurahia kazi nzuri inayofanywa na Halmashauri chini ya uongozi wa Mkurugenzi,” amesema Mhe. Dotto.

Miongoni mwa mafanikio yaliyobainishwa ni pamoja na utatuzi wa changamoto katika huduma za jamii na upangaji bora wa matumizi ya ardhi, ambapo Halmashauri imetenga maeneo maalum ili wananchi waweze kupisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa manufaa ya jamii.

Kwa upande wake, Msitahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias Masumbuko, amewahimiza madiwani kuendelea kusimamia suala la elimu, hasa katika kupambana na utoro mashuleni.

Akizungumza katika kikao hiki, Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Mwl. Alexius Kagunze amezipokea pongezi alizopewa na Madiwani na kuhaidi kuendelea kutatua changamoto pale zinapojitokeza huku akisema katika kipindi cha robo ya tatu, Serikali imefanikiwa kuajiri watendaji wa mitaa na vijiji vyote vilivyopo ndani ya Manispaa hii , jambo lililosaidia kutatua changamoto ya upungufu wa rasilimali watu na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa