• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BARRICK BULYANHULU YAZINDUA KAMPENI YA ZERO MALARIA

Posted on: November 22nd, 2023

BARICK BULYANHULU YAZINDUA KAMPENI YA ZERO MALARIA

Katika kuunga mkono Juhudi za Serikali katika kukabiliana na Ugonjwa wa Malaria Mgodi wa  Barick Bulyanhulu unaopatikana Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga umezindua kampeni ya Kuhamasisha Jamii kujinga na ugonjwa huo kampeni Ijulikanayo ZERO MALARIA INAANZA NA MIMI ,WEWE NA SISI SOTE.

Akizungumza katika uzinduzi huo iliofanyika katika kata ya Bugarama  Meneja wa Mgodi wa Bulyanhulu  CHEICK SANGARE Amesema Barick Imekuwa ikishirikiana na serikali katika mambo mbalimbali lakini kwa sasa tutaihamasisha jamii kujikinga na ugonjwa malaria ili kupunguza vifo hasa vya mama na watoto ambao wamekuwa wahanga wa ugonjwa huu.

Aidha amesema kupitia kampeni hii kaya zipatazo Elfu 17,500 na  watu Zaidi ya Elfu 5000 watanufaika ambapo watapata nafasi ya kupata vyadarua pamoja na kunyunyuziwa dawa makazi yao.

Akitoa salamu kwa niaba ya serikali Mkurugenzi Halimashauri ya msalala KHAMIS KATIMBA ameupongeza mgodi wa Barick Bulyanhulu kwa kuzindua kampeni hiyo ambapo amewaomba wananchi wataofikiwa na kampeni hiyo kuwa ushrikiano watoa huduma watakaofika katika kaya zao.

Akitoa tathimini ya maambukizi ya ugonjwa huo katika kata mbili ya bugarama na bulyanhulu Dkt. Martin Mazigwa Ambae ni Mratibu wa malaria amesema kiwango cha maambukizi  kimepungua  mambapo mwaka 2020-2023 kutoka asilimia 29.4 hadi Asilimia 18.9  katika kaa hizo mbili.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa