• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

BI. CHRISTINA MNDEME AKABIDHI OFISI KWA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA MHE. ANAMRINGI MACHA

Posted on: March 18th, 2024

Na. Shinyanga RS.

BI. Christina Solomon Mndeme ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amekabidhi rasmi Ofisi kwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha huku akimtakia kila lenye kheri katika kuwatumikia Wanashinyanga na Watanzania kwa ujumla.

Makabidhiano haya yamefanyika tarehe 18 Machi, 2024 katika jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo yalihudhuriwa na vingozi mbalimbali wakiwemo wa Kamati ya Usalama.

Akizungumza mara baada ya makabidhiano, Mhe. Macha amesema kuwa, anamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa uzima  na afya, kipekee anamshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwa na imani nae na hata amemteuwa tena katika nafasi hii mpya ili aendelee kumsaidia kazi kwa Mkoa wa Shinyanga.

Aidha amesema kuwa, ataendelea kuwatumikia Wanashinyanga kuanzia pale alipoishia Bi. Christina, na ataendelea na juhudi zaidi na maarifa katika kuwatumikia wqnanchi na kuhakikisha kuwa wanakuwa na maendeleo, afya na ustawi wa kijamii.

Mhe. Macha anakuja kuchukua nafasi ya Bi. Christina ambaye ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu - Mazingira kufuatia mabadiliko yaliyofanywa na Mhe. Rais ambapo Mhe. Macha anatikea kwenye nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM Bara.


HABARI PICHA NA MATUKIO





Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa