• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

DC SAMAIZI AWATAKA VIJANA KULIBEBA TAIFA MIOYONI MWAO NA SIYO KWA MANENO YA MDOMONI

Posted on: July 25th, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amewataka vijana kulibeba Taifa katika mioyoni yao na siyo midomoni mwao kama ambavyo imekuwa ikionekana kwa baadhi ya vijana ikiwa ni sehemu ya kuendelea kuwaenzi Mashujaa wetu waliojitoa kulipiginia Taifa letu.

Hayo yametamkwa leo tarehe 25 Julai, 2023 wakati wa kuadhimisha Sherehe hizi ambapo alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme katika Viwanja vya Mazingira Center Manispaa ya Shinyanga na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, viongozi wa dini, wananchi na watumishi kutoka taasisi mbalimbali.

"Niwatake vijana wote kulibeba Taifa letu mioyoni mwetu na siyo midomoni kama ambavyo imekuwa ikionekana kwa baadhi ya vijana wenzetu ili tuweze kuendelea kuwaenzi Mashujaa wetu kwa kulilinda na kulipigania wakati wote," akisema Mhe. Johari.

Tanzania huadhimisha Siku ya Kuwakumbuka Mashujaa waliopoteza maisha yao wakiutetea, kuupigania na kuulinda Uhuru wa Tanzania kila ifikapo Julai 25, ya kila mwaka .

Siku hii ya kuwakumbuka mashujaa huambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo kufanya dua na sala maalumu kutoka kwa viongozi wa dini ya kuwaombea mashujaa hao waliopoteza maisha na kuiombea amani nchi yetu pia hufanyika Gwaride maalumu kutoka kwa vikosi vya ulinzi na usalama kwa ajili ya kuwaenzi mashujaa wetu.

@christinamndeme18 @johari_samizi @shinyanga_press_club @shinyanga_tanzania

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi (mwenye Gauni) akiwa na baadhi ya viongozi wa vikosi vya ulinzi na usalama alipomuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme kwenye maadhimisho ya siku ya mashujaa katika viwanja vya Mazingira Center Manispaa ya Shinyanga

Mstahiki Meya Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumhuko akipokea zana za jadi ikiwa ni ishara ya kuwaenzi mashujaa waliotumia silaha hizo katika mapambano yao wakati kupigania uhuru

Picha ikionesha sehemu ya viongozi walioshiriki katika maadhimisho ya siku ya mashujaa


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa