• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KADI YANGU INASOMEKA NIMEZALIWA TAREHE 08/06/1988 NA SIYO 1900 - BI. SARAH

Posted on: August 25th, 2024

Na. Paul Kasembo - MSALALA.

ALIYESEMEKANA kupatiwa Kadi ya Mpiga Kura iliyokuwa ikisomeka amezaliwa mwaka 1900 Bi. Sarah S. Lusobangeja mkazi wa kitongoji cha Mwabasabi, kijiji cha Kakola Namba 9 Kata ya Bulyanhulu amesema kuwa Kadi yake ya Mpiga Kura inasomeka amezaliwa tarehe 08/06/1988 na siyo 1900 kama ambavyo ilisekana awali.

Bi. Sarah ameyasema haya leo tarehw 25 Agosti, 2024 alipokuwa akizungumza na ujumbe wa wasimamizi wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Mpiga Kura uliongozwa na ndg. Bakari Kasinyo ambaye ni Mratibu wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpiga Kura Mkoa wa Shinyanga huku akisisitiza kuwa marekebisho ya Kadi hiyo yalifanyika tarehe ileile ya 22/8/2024 mara baada ya kuwa imebainika kuwa na makosa ya kiuandishi.

"Kadi yangu ya Mpiga Kura inasomeka vema nimezaliwa tarehe 08/06/1988 na siyo mwaka 1900 kama ambavyo imekuwa ikisemekana na walio wengi," amesema Bi. Sarah.

Akizungumza baada kufika katika kituo alichohudumiwa Sarah, Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Msalala ndg. Vicent Ipagala amesema kuwa marekebisho ya Kadi hiyo yalifanyika tarehe ileile ya 22/8/2024 mara baada ya kubaini uwepo wa tatizo la kiuandishi na hivyo akapatiwa Kadi nyingine yenye taarifa sahihi kama ambavyo inasomeka Kadi yake kwa sasa.

Haya yanafuatia baada ya uwepo wa kipande kifupi cha picha jongefu (video clip) kikionesha Kadi yake ya Mpiga Kura amezaliwa mwaka 1900 jambo ambalo lilipelekea hali ya sintofahamu miongoni mwa wananchi wanaomfahamu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa