• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa yafanya ziara Mkoani Shinyanga

Posted on: March 15th, 2018

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, imefanya ziara Mkoani Shinyanga na kukagua miradi mbalimbali leo tarehe 15 Machi, 2018.

Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Jason Rweikiza imetembelea na kukagua ujenzi wa barabara ya lami katika Manispaa ya Shinyanga chini ya programu ya uimarishaji miji (ULGS) kwa ufadhili ya Benki ya Dunia ambayo inajengwa kwa gharama ya sh. bilioni 15.43 pamoja na Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) katika kijiji cha Lunguya, Halmashauri ya Wilaya ya Msalala.

Kamati ikiwa kijijini hapo, Mwenyekiti Mhe. Rweikiza amegawa hati 5 za umiliki wa ardhi ikiwa ni sehemu ya hati 250 zilizoandaliwa na MKURABITA baada ya kupima mashamba 1,111.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. George Mkuchika ambaye ni mjumbe wa Kamati hiyo, amesema lengo la MKURABITA ni kuwawezesha wananchi kumiliki ardhi yao na kuitumia kupata kipato hivyo wanapimiwa mashamba yao na kupewa hati miliki waweze kukopesheka kwenye mabenki ili kuendeleza shughuli zao za kiuchumi. 

Aidha, Kamati hiyo imepongeza hali ya Ulinzi na Usalama katika Mkoa wa Shinyanga hususani kutokuwepo kwa mauaji ya Vikongwe na Albino. 

Sambamba na hilo, Kamati pia imepongeza jitihada zinazofanywa na Mkoa na kuhakikisha uhakika wa chakula kwa kuwaelekeza wananchi na watumishi kulima angalau ekari 3 za mazao ya chakula na biashara.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa