• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAIPONGEZA SERIKALI

Posted on: March 14th, 2024

Na. Shinyanga RS.

KAMATI ya Kudumu ya Bhnge ya Miundombinu inayoongozwa na Mwenyekiti Mhe. Selemani Moshi Kakoso imeipongeza sana Serikali kupitia ujnezi wa Mkongo wa Taifa ambapo leo Kamati imetembelea na kukagua kituo cha Mkongo uliopo TTCL - Shinyanga kwa niaba ya vituo vingine 32 uliogharimu zaidi ya Bilioni 1 unazozalisha 800G unaohudumia Singida - Shinyanga - Mwanza, Shinyanga Kahama huku Kamati ikiishauri Serikali kuwa imefika wakati TTCL ijiendeshe kibiashara na iweze kuisaidia serikali katika kupunguza gharama za uendeshaji.

Pongezi hizi zinetolewa leo tarehe 14 Machi, 2024 ambapo Kamati imetembelea na kushuhudia namna ambavyo Mkongo wa Taifa unavyofanya kazi katika Kituo cha TTCL Mkoa wa Shinyanga ambapo taarifa imesemwa kuwa ujenzi huu umejikita katika maeneo makuu mawili ambayo ni Usimikaji wa Mitambo ya ujenzi wa nguzo za zege sambamba na utaji wa Waya za Faiba huku taarifa ikionesha kuongezeka kwa uwezo kutoka 200G hadi 800G.

"Kwa niaba ya Kamati, nipende kuwapongeza sana Serikali katika utekelezaji wa ujenzi wa mtandao wa mawasiliano kati ya Mikoa yetu na sas mmevuka nje ya Nchi kwa lengo la kurahisisha mawasiliano na kuileta dunia pamoja, ushauri wetu kwenu, ifike wakati sasa TTCL ije na ubunifu utakaowezesha kujitegemea, kujiendesha kibiashara ili kuipunguzia mzigo Serikali kwa kuwa hivi sasa inatoa huduma mpaka nje ya Nchi," amesema Mhe. Kakoso.

Akizungumza wakati wa ziara hii Waziri wa Habari, Mawasiliano  na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) kwanza amemshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Wizara na taasisi zake kifedha ilimkuweza kuboresha huduma kwa wananchi kama inavyoshuhudiwa leo kupitia Mkongo huu wa Taifa.

Mhe. Nape amesema, kwa ujumla juhudi kubwa zimefanywa na Serikali katika kuhuisha na kuboresha utoaji huduma ambao ameusema kuwa Mkongo wa Taifa ni barabara ya mawasiliano inayoiunganisha Nchi ndani na nje huku akisema bado kuna baadhi ya jamii haijaingia kwenye mfumo wa simu janja lakini kwa ujumla wamepokea pongezi, ushauri na maelekezo yote na watayafanyia kazi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa