• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA WA SHINYANGA CP. SALUM HAMDUNI AFUNGUA MKUTANO WA KUWASILISHA NA KUJADILI MPANGO WA MATUMIZI YA ARDHI WA MKOA WA SHINYANGA

Posted on: September 3rd, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

KATIBU Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni amefungua Mkutano wa Kuwasilisha na Kujadili Mpango wa Matumizi ya Ardhi wa Mkoa wa Shinyanga huku akwaisisitiza wajumbe kujadili kwa kina na kwa maslahi mapana ya Wanashinyanga na Taifa kwa ujumla wake.

CP. Hamduni ameyasema haya leo tarehe 3 Septemba, 2024 katika mkutano huu ambao umefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo umeratibiwa na kusimamiwa na Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC).

"Pamoja na pongezi kwa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi, lakini pia niwaombe na kuwasisitiza wajumbe kushiriki kikamilifu katika mkutano huu ambao unao maslahi mapana ya Wanashinyanga na Taifa kwa ujumla," amesema CP. Hamduni.

Akiwasilisha dhumuni la mkutano huu, Mkurugenzi wa Mipango ya Matumizi ya Ardhi kutoka (NLUPC) ndg. Jonas Nestory Masingija amesema kuwa uwepo wa mkutano huu unakwenda kupata maoni na mapendekezo ya wataalam ambao utaleta tija na kuona namna ya kutumia vema ardhi kuongeza thamani ya vyote vitokanavyo na ardhi ili kukuza uchumi na kuongezeka kwa kipato cha wananchi wa Shinyanga na Taifa huku akisisitiza kuwa miaka 20 ijayo Shinyanga inakwenda kubadilika kabisa.

"Tafiti zinaonesha, miaka 20 ijayo kuanzia sasa Mkoa wa Shinyanga unakwenda kuwa ni kitovu cha usindikaji wa mazao ya mifugo, chakula na senta kubwa ya madini", amesema Nestory.

Aina za ardhi zilizopo katika Mkoa wa Shinyanga ni ardhi ya jumla 18% ambayo ni Manispaa ya Shinyanga na Kahama Manispaa, huku ikitajwa kuwa ardhi iliyo kubwa ni ardhi ya vijiji yenye 75% na ardhi ya hifadhi ni 6% ikijumuisha msitu wa Ushetu Ubagwe, Nindo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na Mkweni uliopo sehemu ya Manispaa ya Kahama.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa