• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KATIBU TAWALA MKOA WA SHINYANGACP. HAMDUNI AKUTANA NA MENEJIMENTI YA MKOA

Posted on: August 22nd, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

KATIBU Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni amekutana na Timu ya Wataalam ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambayo imejitambulisha kwake,  huku RAS CP. Hamduni akisisitiza uwajibikaji, uzalendo, uadilifu na misingi ya sheria kufuatwa na hili ni kwa watumishi wote Mkoa wa Shinyanga.

Haya yamesemwa leo tarehe 22 Agosti, 2024 ofisini kwake ikiwa ni siku ya kwanza kuripoti mkoani Shinyanga ikiwa ni kituo kipya cha kazi baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga baada ya aliyekuwepo kurejeshwa Chuo cha Kilimo Sokoine ambako alikuwa Mkufunzi Mwandamizi.

"Pamoja na kuwaomba ushirikiano, lakini pia niwatake kila mmoja atekeleze wajibu na majukumu yake kikamilifu kwa kutanguliza uzalendo, uadilifu, nidhamu na kufuata misingi ya sheria," amesema CP. Hamduni.

Akitoa salumu kwa niaba ya Menejimenti na watumishi Mwl. Dafroza Ndalichako amesema kuwa watumishi wataendelea kumkumbuka sana Prof. Siza Tumbo kwa utendaji kazi wake mzuri ambao alikuwa Mwalimu wakati wote ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu yake.

Kwa upande wa CP. Hamduni, Mwl. Ndalichako amemkaribisha kwa mikono miwili huku akimuahidi ushirikiano wakati wote ili aweze kutimiza adhima ya utekelezaji wa majukumu yake hapa mkoani Shinyanga, na kwamba watumishi wote wapo tayari kupokea maelekezo, ushauri na maoni wakati wote atakapoelekeza.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa