• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KLABU YA WANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA YAFANYA MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WAKE

Posted on: April 5th, 2025

Repost @shinyanga_press_club

KLABU ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC),imefanya Mkutano Mkuu wa Wanachama wake , huku Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, ikiahidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari pamoja na kutoa mafunzo ya namna ya uandishi wa habari za Kimahakamana kwa kuzingatia Sheria na Miongozo yake.

Mkutano huo umefanyika leo Aprili 5, 2025 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, huku Mgeni Rasmi akiwa ni Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga Mhe.  Ntuli Mwakahesya akimwakilisha Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo Mhe. Frank Mahimbali.

Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga ndg. Greyson Kakuru akisoma taarifa ya Klabu hiyo kwa Mgeni Rasmi, alisema mkutano huo ni takwa la kikatiba kwa ajili ya kujadiliana maendeleo ya ustawi wa klabu.

“Katika mkutano wetu huu mkuu leo tutajadili taarifa za maendeleo ya klabu yetu na kufanya maamuzi ya kimuundo kwa utawala kwa kupitisha bodi ya klabu ili tuendane na mabadiliko ili kuwa na klabu ya ustahimilivu wa kusonga mbele zaidi,”alisema Kakuru.

Kwa upande wake Mgeni Rasmi Mhe. Ntuli Mwakahesya ameipongeza SPC kwa mkutano wao pamoja na kuwa miongoni mwa Klabu bora hapa nchini huku akiahidi kuwa Mahakama hiyo itaendelea kushirikiana na vyombo vya habari na kwamba itaandaa mafunzo kwa waandishi wa habari ya namna bora ya kuandika habari za Kimahakama huku wakiwasihi wanahabari wawe wanafika Mahakamani na kuandika habari na kuhabarisha umma.

Katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu Mhe. Ntuli amewsihi wanahabari kuandika taarifa zenye kuzingatia maadili na miiko ya taaluma zao pamoja na kuhakiki vyanzo vya taarifa viwe vyenye usahihi na kuaminika.

SPC imetoa shukrani za dhati kwa  Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga,TASAF, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, jambo Group, SHIDEFA, BENKI ya CRDB, Life Water, RUWASA, SHUWASA, Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Jeshi la Zimamoto na uokoaji, huku wito ukitolewa na  wakiwakaribisha wadau wengine kushirikiana na SPC.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VYAMA VYA SIASA VYATARAJIWA KUSAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI

    April 12, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2024.

    April 08, 2025
  • KLABU YA WANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA YAFANYA MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WAKE

    April 05, 2025
  • WALIMU FANYENI KAZI KWA BIDII NA WELEDI KUINUA UFAULU KWA WANAFUNZI – RC MACHA

    April 04, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa