• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KUELEKEA UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA, SERIKALI MKOANI SHINYANGA YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA NA WADAU.

Posted on: June 7th, 2023

 Na. Shinyanga RS.

Kuelekea Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imewajengea uwezo maafisa na wadau mbalimbali watakao toa huduma za kisheria katika maeneo yote ya Mkoa.

Akieleza mbele ya wajumbe hao, Msajili Msaidizi wa watoa huduma ya Msaada wa Kisheria ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Shinyanga Ndg. Tedson Ngwale amesema kuwa ujio wa Kampeni hii ya ijulikanayo Mama Samia Msaada wa Kisheria (Mama Samia Legal Aid Campaign) katika Mkoa wa Shinyanga itawasaidia sana wananchi katika kutatua kero zao sambamba na kupata haki zao kwa wakati.

"Ujio wa Kampeni hii ya Mama Samia Msaada wa Kisheria ni mwarubaini wa kero, shida na changamoto zote zinazohusu upatikanaji wa haki kwa wakati walizojuwa wakikutana nazo wananchi wa Mkoa wa Shinyanga hasa wale wasiokuwa na uwezo, makundi maalumu yakiwamo wanawake na watoto jambo ambalo awali walikuwa wakisubiria ziara za viongozi wa ngazi za juu ili watoe kero zao," alisema Ngwale.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa Wananchi Mkoa wa Shinyanga Ndg. John Shija alisema kuwa Kampeni hii ni muhimu sana kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga ili kuweza kuondoa kabisa kero ambazo zimekuwa ni kikwazo kwa maendeleo ya wananchi, huku akitoa rai kwa watoa huduma hiyo kuwa wasiende kutekeleza tofauti na kusudio la kampeni na kuwa sehemu ya wanaharakati.

Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria kimkoa utafanyika rasmi tarehe 11 Juni, 2023 katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Christina Solomon Mndeme Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ikiwa na Kauli Mbiu "Msaada wa Kisheria kwa Haki, Usawa, Amani na Maendeleo"

Picha ikionesha baadhi ya wajumbe walioshiriki katika uwezesho wa masuala ya Msaada wa Kisheria katika Mkoa wa Shinyanga


 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa