• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MANISPAA YA SHINYANGA YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2024.

Posted on: April 8th, 2025

Repost @shinyangamanispaa 

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imeibuka mshindi wa pili kitaifa katika mashindano ya afya na usafi wa mazingira kwa mwaka 2024, ikitangazwa miongoni mwa Halmashauri za Manispaa 20 nchini, ushindi huu umeambatana na tuzo ya heshima pamoja na zawadi ya shilingi milioni 2 (Tsh 2,000,000) iliyotolewa na Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama (MB).

Tuzo hiyo ilipokelewa kwa heshima kubwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mhe. Elias R. Masumbuko, akiwa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Usafi wa Mazingira na Udhibiti wa Taka, Ndg. Kuchibanda Snatus, hafla hiyo muhimu ilifanyika tarehe 08 Aprili 2025, mkoani Dodoma.

Ushindi huu ni uthibitisho wa jitihada kubwa zinazofanywa na Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga katika kuhakikisha mazingira safi, salama na yenye afya kwa wakazi wake, sambamba na kutekeleza kwa vitendo mikakati ya kitaifa ya usafi wa mazingira.

Manispaa inaendelea kuwashukuru wananchi wote kwa ushirikiano wao wa dhati na inawaomba kuendeleza juhudi za usafi wa mazingira kwa ustawi wa jamii na vizazi vijavyo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VYAMA VYA SIASA VYATARAJIWA KUSAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI

    April 12, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2024.

    April 08, 2025
  • KLABU YA WANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA YAFANYA MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WAKE

    April 05, 2025
  • WALIMU FANYENI KAZI KWA BIDII NA WELEDI KUINUA UFAULU KWA WANAFUNZI – RC MACHA

    April 04, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa