• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MD KAGUNZE AWAASA WATUMISHI WAPYA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Posted on: January 15th, 2025

Na: Shinyanga MC

Repost @shinyangamanispaa

Mkurugenzi wa Halmashauri ya manispaa ya shinyanga Mwl. Alexius Kagunze amewataka watendaji wa kata, mitaa, madereva, watunza kumbukumbu,watumishi kada ya afya pamoja na waandishi wa vikao  ajira mpya kuwa na nidhamu, kuzingatia maadili ya kazi

kuheshimiana na kushirikiana katika utendaji kazi ili kuwaletea maendeleo wananchi.

Mwl. Kagunze ameyasema haya leo Januari 15,2024 wakati akifungua mafunzo kwa watumishi wapya walioajiriwa katika kada mbalimbali kwenye utumishi wa umma, mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo na uelewa kwa watumishi hao, mafunzo yaliyofanyaka katika Ukumbi wa mikutano shule ya msingi Buhangija.

 “Ninyi ni watu wa muhimu sana katika ujenzi wa taifa mnatakiwa kufanya kazi yenu kwa bidi , kuzingatia maadili ya kazi, kutekeleza majukumu yenu, wajibu wenu ni kuwatumikia kikamilifu wananchi , rai yangu kwenu tufanye kazi kwa kuheshimiana na kushirikiana, tuwe na nidhamu kazini, mimi nikiwa ndiye Mkurugenzi wa Manispaa hii sitopenda watumishi wangu wanagombana, mkubwa amheshimu mdogo na mdogo vile vile amuheshimu mkubwa”. Amesema Mwl Kagunze.

Katika hatua nyingine Mwl. Kagunze amewataka watumishi hao kutunza mali na rasilimali za serikali ili viweze kudumu.

“Watumishii wote watendaji wa mtaa ,kata, madereva hakikishenu mnatunza mali za serikali na kuzithamini. Serikali imefanya kazi kubwa sana katika Manispaa yetu ya Shinyanga Kuhakikisha inaweka vifaa na miundombinu rafiki ya utendaji kazi, nitumie fursa hii kuwaasa tuvitunze vifaa hivyo ili viweze kudumu”. Amesema Mwl. Kagunze.

Katika Mwaka wa fedha 2024/2025 halmashauri ya manispaa ya shinyanga imeweza kuajiri jumla ya watumishi 73, ambapo kada ya afya watumishi 44, madereva 3, watunza kumbukumbu 5 na watendaji 4, mitaa 16 , idara ya ujenzi mtumishi 1, pamoja na waandishi wa vikao 1.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa