• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MHE. MNDEME AIPONGEZA MANISPAA YA KAHAMA KWA KUPATA HATI SAFI KWA MIAKA MITANO MFULULIZO NA KUJIBU HOJA ZA CAG

Posted on: June 21st, 2023


Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kahama kwa kuendelea kupata Hati Safi kutokana na ukaguzi za CAG sambamba na kujibu hoja za mwaka 2021/2022.

Mhe. Mndeme ametoa pongezi hizo aliposhiriki katika Kikao Maalumu cha Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Kahama lililokuwa na ajenda moja kuu ya kupokea na kujadili mapendekezo ya Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ambapo Manispaa ya Kahama ilikuwa na Hoja 67 kati ya hizo 48 zilijibiwa na kufungwa wakati 19 zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

“Nawapongeza sana kwa kuendelea kufanya vizuri na kupata hati safi kwa miaka mitano mfululizo, kujibu hoja vizuri na pia nawapongeza sana kwa ushirikiano walionao kati ya Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita, Waheshimiwa Madiwani, Menejimenti na watumishi wote katika Manispaa umoja ambao unapelekea utendaji kazi kuwa mwepesi na wenye weledi mkubwa kwakuwa pia ndani yake kuna uzalendo,” alisema Mhe. Mndeme.

 

Kando na pongezi hizo pia aliwaelekeza kutekeleza yafuatayo; kufuatilia na kuhakikisha kuwa wale wote wanaodaiwa na Manispaa wanalipa fedha hizo kwa wakati ili kuzifanya Manispaa kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wake, kuhakikisha malipo yote yanayofanywa kwa njia ya Mashine za Kukusanyia Mapato (POS) yanapelekwa Benki siku hiyo hiyo yasibakie mikononi mwa wakusanyaji ili kuepusha matumizi ya pesa mbichi.

Maelekezo mengine ni kufuatilia na kuhakiki kuwa hati zote za malipo zinakuwa viambatisho wakati wote na isiwe tu mpaka wakati wa ukaguzi, kuwepo na kitabu cha kumbukumhu kinachoonesha idadi ya Kampuni zote zilizopo Manispaa ya Kahama ili waweze kusimamia ukusanyaji wa ushuruwa huduma kwa wakati kwani kila Kampuni ni lazima kulipia ushuru huo na uwepo wa rejista kwa ajili ya kuhuisha taarifa na kuonesha idadi ya mali za Manispaa.

Picha ikionesha sehemu ya wajumbe waliohudhuria kikao cha baraza maalumu kujadili mapebdekezo ya hoja za CAG katika ukumbi wa Manispaa ya Kahama

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa