• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MKURUGENZI WA HABARI MAELEZO AWAPA SOMO MAAFISA HABARI WA SERIKALI

Posted on: February 18th, 2017

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji wa Serikali ya Tanzania Dkt. Hassan Abbas amewataka Maafisa Habari wa Serikali kuwa na malengo makubwa katika kutekeleza majukumu yao na kuhakikisha shughuli za Serikali zinafahamika kwa wananchi kwa kiwango kikubwa.

Dkt. Abbas amesema hayo leo alipokutana na Maafisa Habari na TEHAMA jijini Mwanza ambao wapo kwenye mafunzo ya siku saba ya uanzishaji na uendeshaji wa Tovuti za Mikoa na Halmashauri.

Amewaeleza Maafisa hao kuwa, sifa mojawapo ya Afisa Habari wa sasa ni kuweka malengo na kufanya kazi kwa kushirikiana na wadau wa sekta zote ili kuhakikisha mipango ya Serikali, utekelezaji na matokeo yanaonekana na kujulikana na wananchi kwa namna yoyote ile ikiwemo kutumia tovuti hizo.

Aidha, Mkurugenzi huyo ametoa changamoto kwa Maafisa Habari wote wa Serikali kuwa, kuanzia sasa watapimwa utendaji wao kupitia tovuti hizo zitakazozinduliwa rasmi siku ya Jumatatu tarehe 20 Februari, 2017 kwa kuweka taarifa muhimu na sahihi kwa ajili ya wananchi.

Dkt. Abbas ameahidi pia kuwasaidia Wataalamu hao wa Habari pale wanapokumbana na changamoto zitakazoonesha kukwamisha utekelezaji wa majukumu yao. 

Tovuti za Serikali za Mikoa mitano iliyohudhuria mafunzo hayo ni Kagera, Mara, Mwanza, Shinyanga na Simiyu zitazinduliwa rasmi Jumatatu ijayo na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa