• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga apokea nyumba 30 za watumishi wa Afya

Posted on: April 28th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amepokea nyumba 30 kwa ajili ya watumishi wa afya Mkoani Shinyanga zilizojengwa na taasisi ya Benjamin Mkapa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa gharama ya sh. 1.5 Bilioni.

Akipokea nyumba hizo katika hafla iliyofanyika kwenye kijiji cha Mhandu, kata ya Chela, Halmashauri ya Wilaya ya Msalala, Mhe. Telack ameishukuru taasisi ya Benjamin Mkapa kwa kazi kubwa walioifanya ambayo itasaidia kuwaweka watumishi wa afya karibu zaidi na wananchi. 

Amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zilipojengwa nyumba hizo ambazo ni Msalala, Shinyanga na Kishapu, kuhakikisha zinatunzwa kwa ukarabati wa mara kwa mara ili zisipoteze ubora wake na watumishi wafanye kazi katika mazingira mazuri.

Mhe. Telack amewaomba pia wadau kuendelea kusaidia kuongeza nyumba nyingine kwani bado kuna changamoto ya upungufu wa nyumba za watumishi wa afya.

Miezi minne iliyopita Mhe. Telack aligoma kuzipokea nyumba hizo kutokana na kutokamilika ambapo aliagiza zifanyiwe marekebisho ndipo atazipokea zikiwa katika hali inayoridhisha.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA UGAWAJI WA MBEGU BORA KWA WAKULIMA MSIMU WA 2025/2026

    October 23, 2025
  • SHINYANGA YAPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA KWA NGUVU MPYA

    October 21, 2025
  • AFISA UTAMADUNI MKOA AKUTANA NA MAAFISA UTAMADUNI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA SHINYANGA KUJADILI UBORESHAJI WA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA MAKTABA ZA VIDEO

    October 21, 2025
  • RC MHITA AKABIDHI MAGARI 5 MAPYA KWA JESHI LA ZIMAMOTO SHINYANGA, ASEMA YATASAIDIA KUOKOA MAISHA ZAIDI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

SHINYANGA IKO SALAMA, WANANCHI JITOKEZENI KUPIGA KURA KWA AMANI - RC MHITA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa