• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MNE. MCHENGERWA AKABIDHI GARI 4 SHINYANGA

Posted on: December 15th, 2023

Waziri wa TAMISEM Mhe. Mohamed Mchengerwa (MB), amekabidhi magari manne kwa ajili ya Usimamizi katika Sekta ya Afya Mkoani Shinyanga ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa Waganga Wakuu wa wilaya na Mkoa tukio ambalo limefanyika katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa mkoa wa shinyanga na kushuhudiwa na viongizi mbalimbali kutoka TAMISEMI na kwa upande wa shinyanga wameongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme.

Mhe. Mchengerwa amemtaka Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Yudas Ndungulile na Waganga Wakuu wa Halmashauri, kuyatumia kikamilifu kuwatembelea Watumishi wa Afya pamoja na kufanya nao vikao vya mara kwa mara, ili kuboresha utendaji kazi wa kuhudumia wananchi na kuokoa afya zao, wakiwamo wajawazito na kupunguza vifo vya uzazi huku akitumia muda huo kuwataka watumishi katika nafasi zao kufanya mikutano na wananchi ili kuwaelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya sita.

“Nakabidhi Magari haya Manne ya usimamizi katika Mkoa wa Shinyanga ambapo gari moja ni la Mganga Mkuu wa Mkoa, na Mengine Matatu ni ya Waganga Wakuu wa wilaya, hivyo yatumieni Magari haya kwenda kufanya vikao na watumishi na kukagua huduma za afya ili wananchi wapate huduma bora za matibabu,”amesema Mchengerwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme, amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kuboresha huduma za na sekta nyingine kwa kutoa fedha nyingi na kujengwa Vituo vya Afya, Zahanati,Hospitali za Wilaya, Mkoa, kutoa Vifaa tiba, Madawa, na sasa ameleta Magari Manne ya usimamizi kwa Waganga Wakuu huku akisema mkoa wa shinyanga Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameivifikia vijiji vyote 506 koani shinyanga kupitia sekta mbalimbali hivyo wanashinyanga wana kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza sana.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MACHA AKUTANA NA WAJUMBE WA BODI YA JTI WAKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAKE BI. ANNE MAKINDA,

    February 21, 2025
  • RAS. CP HAMDUNI AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA SEKRETARIETI YA MKOA WA SHINYANGA

    February 21, 2025
  • TJMEANZA KUFANYIA KAZI MAELEKEZO YA MHE. WAZIRI MKUU - PROF. MBARAWA.

    February 20, 2025
  • KIJIJI CHA SAYU NDIYO KINARA WA KILIMO CHA PAMBA MKOA WA SHINYANGA – RC MACHA

    February 19, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa