• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MRAJIS NA MTENDAJI MKUU WA TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA TANZANIA AVITAKA VYAMA VYA USHIRIKA KWENDA NA WAKATI

Posted on: March 21st, 2024

Na. Shinyanga RS

MRAJIS na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania Dkt. Benson Ndiyege aliyewakil8shwa na Ndg. Juma Mokili amevitaka Vyama vya Ushirika Mkoani Shinyanga kwenda na wakati sanjari na teknolojia katika utekelezaji wa majuku yao ya kila siku, huku akisisitiza kuzitambua na kurasimisha mali zote za Ushirika ka sera inavyowataka.

Maelekezo haya yametolewa leo tarehe 21 Machi, 2024 na Ndg. Juma Mokili ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utafiti na Mafunzo kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi Tawi la Shinyanga wakati wa ufunguzi wa Jukwaa la Maendeleo ya Ushirika Mkoa wa Shinyanga ambapo pamoja na maelekezo mengine, pia amewapongeza Shonyanga kwa kufanya malipo ya wakulima awamu ya pili kupitia Chama cha Ushirika Kahama (KACU)

"Pamoja na pongezi nyingi zaidi kwenu wanaushirika wa Mkoa wa Shinyanga kazi nzuri mnazofanya, pia niwatake sasa kwnda na wakati ikiwemo kuanza matumizi ya TEHAMA, kuzitambua na kurasimisha mali zote za Ushirika sanjari na kujiendesha kibiashara," amesema Mokili.

Kwa upande wake Mrajis Msaidizi Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace amemueleza mgeni rasmi pampja na wajumbe wa Jukwaa kuwa, Vyama vya Ushirika vinapaswa kwenda kuzitambua na kurasimisha mali zote za ushirika huku akiwapongeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa kuleta mfumo wa usimamizi wa Vyama vya Ushirika, umeleta mageuzi makubwa na maendeleo makubwa huku akianisha vipaumbele 7 ambavyo ni;

1.Uwekezaji katika mfumo wa kidigitali 2. Kuharakisha mchakato wa Benki ya Ushirika ambapo mpaka sasq jumla ya vyama 158 vimekwishanunua Hisa kwenye Benki ya Ushirika 3. Kuhamasisha mfumo wa Ushirka kujiendesha kibiashara 4. Kuboresha Sera na Sheria 5. Kuhamasisha Ushirka katika makundi mbalimbali 6. Kuimarisha uwekezaji mali za ushirika na kuzirasimisha 7. Kushirikiana na wadau mbalimbali katika kutekeleza majukumu ikiwemo kutatua changamoto.

Kando na hayo, Mwenyekiti wa SHIRECU amema kuwa, uongozi umejipanga vema kuondoa kabisa madeni na kufufua viwanda.


HABARI PICHA

Ndg. Juma Mokili Juma (Mkurugenzi wa Utafiti na Mafunzo) Tume ya Maendeleo ya Ushirika ambaye ndiye mgeni rasmi akimuwakilisha Dkt. Benson Ndiyege akielezea Jambo wakati wa ufunguzi wa Jukwaa.

Bi. Hilda Boniphace ambaye ni Mrajis Msaidizi Mkoa wa Shinyanga akielezea jamno wakati wa ufunguzi wa Jukwaa

Picha ikionesha sehe,u ya wajumbe wa Jukwaa la Maendeleo

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa