• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWAITEBELE AWAKUMHUSHA VIONGOZI WA UMMA KUWASILISHA MATAMKO YAO

Posted on: December 11th, 2023

Katibu msaidizi , ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi Ndg. Gerald A. Mwaitebele amewataka viongozi wa umma kanda ya magharibi kukamilisha ujazaji na kuwasilisha matamko ya rasilimali na mali zao kama sheria inavyowataka kabla ya Desemba 31, 2023.

Mwaitebele ameyasema hayo leo tarehe 10 Desemba, 2023 wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya maadili ambapo kwa Kanda ya Magharibi imetekelezwa mkoani shinyanga kwa kutembelea na kugawa zawadi mbalimbali kwa watoto na akina mama wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga (MWAWAZA), kutoa mafunzo ya maadili kwa watendaji wa kata, mitaa na vijiji Manispaa ya shinyanga.

Aidha Mwaitebele akiwa ameongozana na watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa shinyanga (TAKUKURU) walifika Chuo cha Ushirika Moshi tawi la Shinyanga (KIZUMBI) ambapo walifanya kongamano ambalo lilikuwa na mada mbalimbali ikiwemo "Nini kifanyike ili kudhibiti mmomonyoko wa  maadili na vitendo vya rushwa nchini" ikiwa ni pamoja na kuimarisha misingi ya Maadili kwa wanachuo chuoni hapo kwa lengo la kuwapa uelewa zaidi.

Baada ya hapo Mwaitebele na wataalamu hao walipanda miti ya matunda chuoni hapo ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha maadhimisho haya kwa ushirikiano na uongozi wa chuo, wanafunzi pamoja na wadau wa maadili.

"Tunapohitimisha maadhimisho haya, niwakumbushe viongozi wa umma wote kanda ya magharibi kuzingatia misingi ya maadili ikiwa ni pamoja na kuwasilisha tamko la rasilimali, MASLAHI na madeni  kabla ya tarehe 31 Desemba, 2023 kama sheria inavyowataka," Mwaitebele.

Kwa upande wake muwezeshaji kutoka TAKUKURU ndg. Mohamed Doo ameaema kuwa uwepo wa elimu ya maadili ya viongozi wa umma katika nyanja mbalimbali ikiwomo taasisi za elimu, afya, serikali na klabu za maadili kunatajwa kuwa na tija zaidi, kwani wakielimika wataipenda nchi yao, watatenda haki nk.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa