• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU 2023 WAVUTIWA NA UPENDEZAJI MJI

Posted on: July 28th, 2023

Na Shinyanga RS.

Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 imeangaza miradi 10 katika Wilaya ya Shinyanga katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambapo Kiongozi wa Mbio hizo  Kitaifa Ndg. Abdalla Shaib Kaim amewapongeza sana viongozi, watumishi na wananchi wakiongozwa na Mhe. Johari Samizi ambaye ni Mkuu wa Wilaya kwa utekelezaji wa miradi bora ya kimkakati yenye lengo la kuinua na kusogeza huduma kwa wananchi wake.

Pongezi hizo amezitoa leo tarehe 28 Julai, 2023 ambapo pamoja na mambo mengine  ametaka wahusika wa miradi kufanyia marekebisho yote yaliyobainika wakati wa ukaguzi hasa katika Shule ya Msingi Bugweto ambapo ilibainika uwepo wa baadhi ya madawati yaliyotengenezwa chini ya kiwango na katika Kituo cha Afya Kambarage ilishauriwa kuboresha zaidi miundombinu ya mfumo wa maji taka.

"Ngudu zangu wana Shinyanga, kwanza tumpongeze sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo anawajali wananchi wake na haka kuamua kuleta fedha nyingi katika Sekta mbalimbali ili kuboresha huduma zao, pia niwapongeze sana Manispaa ya Shinyanga kwa kazi nzuri mnazozifanya hakika mnachapa kazi sana na sisi tumefurahishwa kwa kila kitu hapa kwenu hongereni sana," alisema Ndg. Kaim.

Nae Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Ajira, kazi na watu wenye ulemavu) Mhe. Protass Katambi amewashukuru sana Viongozi na wakimbiza Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023, wananchi na wadau wote kwa kupitisha miradi yote kumi jambo ambalo linakwenda kuimarisha na kuboresha sambamba na kusogeza huduma za kijamii kwa wananchi wa Manispaa huku akiahidi kurekebisha yale yote yaliyobainika katika ukaguzi huo.

Mwenge wa Uhuru ukiwa Manispaa ya Shinyanga umefungua miradi katika Sekta ya Elimu, Afya, Maji, Miundombinu, Utunzaji wa Mazingira na usafi wa mji, pamoja na uwezeshaji wananchi kiuchumi yenye jumla ya Tzs. 2, 078, 473, 124, 40/ na kukimbizwa kwa Kilomita 72.5  huku viongozi hao wakishiriki kupanda miti katika shule ya Rajani ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kauli Mbiu ya Mwenge 2023 pamoja na kufanya usafi eneo la upendezeshaji mji lililopo kalogo.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndg. Abdalla S. Kaim (katikati) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobass Katambi (kulia) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi wakitembea kwa ukakamavu eneo la upendezeshaji mji Manispaa ya Shinyanga.

Muonekano wz baadhi ya eneo la kupumzikia - Kalogo

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NIMERIDHISHWA NA KASI YA KILIMO CHA ZAO LA PAMBA HAPA WILAYANI KISHAPU - RC MACHA

    February 13, 2025
  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa