• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAIPONGEZA RUWASA KWA KUTUMIA NeST

Posted on: August 10th, 2024

Na. Paul Kasembo, KISHAPU.

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa ndg. Godfrey Mnzava ameipongeza Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Shinyanga kwa kufuata na kutumia taratibu za mfumo mpya wa utangazaji na upatikanaji wa mzabuni (NeST).

Haya yamesemwa tarehe 10 Agosti, 2024 na Mzava wakati akiweka Jiwe la Msingi kuashiria Ufunguzkatika mradi wa Seseko - Ngundangali lenye uwezo wa kuhudumia wananchi zaidi ya elfu kumi na tano 15,000 kutoka kwenye Kata tatu (3) na ambalo limegharimu zaidi ya Bilioni 2.8 huku ikitajwa kuwa na vituo vya kuchotea maji 32.

"Nawapongeza sana RUWASA kwa mmeweza kufuata na kutumia taratibu mpya za ununuzi kwa mujibu wa PPRA inayoelekeza kumpata mzabuni kwa kutumia mfumo wa NeST ambao kimsingi ni kimtandao, mfumo huu unaondoa kabisa urasimu katika kumpata mzabuni, hivyo hongereni kwa hili mfanya vizuri sana," amesema Mnzava.

Mwenge wa Uhuru 2024 ukiwa wilayani Kishapu umetembelea jumla ya miradi 10 huku mtatu kati ya hii ikitolewa maelekezo ya kutekelezwa ili iweze kuendana na lengo kusudiwa la mradi wakati miradi saba ikikubaliwa ukiwa umekimbizwa kilomita 91.5 na kuangazia Sekta ya elimu, afya, mazingira, maji, miondombinu ya barabara, biashara na Klabu ya Wapinga Rushwa.

Katika kuhitimisha ziara hii, Mwenge wa Uhuru unakesha katika viwanja vya Stwndi ya Mabasi Maganzo na utakabidhiwa Manispaa ya Shinyanga tarehe 11 Agosti, 2024 tukio litqkalofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Ibadakuli.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa