• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri wa Madini afanya ziara Mkoani Shinyanga

Posted on: April 4th, 2019

Naibu Waziri wa Madini Mhe. Stanslaus Nyongo amewataka wananchi wa kijiji cha Mahiga, kata ya Mwakitolyo, Wilaya ya Shinyanga, Mkoani Shinyanga kuhamia eneo walilotengewa ili kumpisha muwekezaji wa madini kampuni ya Henan Afro Asia Geo Engineering.

Mhe. Nyongo ametoa agizo hilo akiwa katika ziara yake Mkoani hapa jana tarehe 03/04/2019.

Nyongo amesema, muwekezaji huyo amefuata taratibu zote za uwekezaji ikiwemo kulipa fidia na kupata leseni hivyo ana haki ya kuendelea na shughuli ya uchimbaji ili Serikali ipate kodi na Wananchi wapate ajira.

Wananchi hao 151 wameshafanyiwa tathmini ya mali zao na tayari wamelipwa fidia ya jumla ya sh. Bil. 1.6 lakini walikataa kupisha eneo hilo kwa madai ya kutokubaliana na uthamini japokuwa umefanyika kwa awamu mbili, hivyo muwekezaji huyo kushindwa kufanya shughuli za uchimbaji.

Awali akitoa taarifa ya eneo hilo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi Hoja Mahiba amesema wananchi 41 kati ya 151 waliofanyiwa uthamini walistahili kupata viwanja vya makazi na tayari viwanja hivyo vimeshapimwa.

Baadhi ya wananchi ambao hawajachukua fidia zao wameelekezwa kufuatilia Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ili kupata haki yao. 



Matangazo

  • MATOKEO KIDATO CHA SITA 2023 July 17, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAAFISA TARAFA NA WATENDAJI KATA MKOA WA SHINYANGA WAPEWA MAFUNZO, WAHIMIZWA KUIMARISHA UKUSANYAJI MAPATO NA UADILIFU

    November 30, 2023
  • OR - TAMISEMI YATOA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MAAFISA TARAFA NA WATENDAJI WA KATA MKOA WA SHINYANGA

    November 29, 2023
  • WATUMISHI WA UMMA MKOA WA SHINYANGA NA TAASISI ZAKE WAPATA MAFUNZO

    November 27, 2023
  • RC MNDEME AKUTANA NA MAMA ANNA ABDALLAH

    November 23, 2023
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa