• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

NAWAPONGEZA SANA WANAHABARI SHINYANGA KWA MSHIKAMANO WENU - RC MACHA

Posted on: May 15th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amepongeza sana mshikamano walionao waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari vilivyopo hapa Mkoa wa Shinyanga huku akiwataka kuendelea kutoa elimu na kupaza sauti juu ya Mabadiliko ya Tabianchi ambayo kwa sehemu jubwa yanatokana na uharibifu wa mazingira yetu.

RC Macha ameyasema haye leo tarehe 15 Mei, 2024 katika hafla ya kuadhimisha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ambapo Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (SPC) kimeadhimisha leo.

Pamoja na pongezi nyingi kwa kazi nzuri wanazozifanya wanahabari na SPC kwa kuadhimisha siku hii, lakini pia ameqataka kuendelea kutumia kalamu zao vema katika kutimiza majukumu yao huku akiwakumbusha unazingatia wa sheria, kanuni na taratibu zilizopo ili kutosababisha sintofahamu kwa umma.

Aidha amewataka wanahabari kusaidia kutoa hamasa kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kufanyakazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo, kuepuka matumizi mabaya ya vyombo vya muziki ambavyo vimekuwa ni kero na sehemu ya uchafuzi wa mazingira ya usikivu (Sound Polution) mijini na katika makazi ya watu katika Mkoa wa Shinyanga.

Akisoma taarifa kwa mgeni rasmi Mwenyekiti wa SPC ndugu Greyson Kakulu amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha mabadiliko ya baadhi ya vifungu vya Sheria ya Habari huku akimuomba mgeni rasmi kuwezesha wanahabari kupata habari na kufanya kazi na kupata ushirikiano kutoka kwa Taasisi na watumishi hasa wanapofikiwa kwa ajili kuhitaji ufafanuzi wa baadhi ya mambo jambo ambalo amelitolea maelekezo kwa walengwa,

Kila mwaka wanahabari Duniani hufanya Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari kila ifikapo Mei 3 ya kila mwaka na klabu za habari kote Tanzania kupanga ratiba ya kukutana na wadau wake ndani ya mikoa katika Mwezi Mei ya kila mwaka ambapo SPC Mkoa wa Shinyanga imeadhimisha leo Mei 15, 2024.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa