• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

NI LAZIMA VYOMBO VYA HABARI VIWE NA WAKALIMANI - MHE. KATAMBI

Posted on: September 28th, 2024

SHINYANGA.

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga mjini Mhe. Patrobasi Katambi kwa niaba ya Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (MB), amesema kuwa vyombo vya habari ni lazima viwe na wakalimani wa lugha ya alama ili kuwawezesha watu wasioweza kusikia kupata haki yao stahiki ya kuhabarishwa kama ilivyo kwa watu wengine.

Mhe. Katambi amesisitiza kuwa hatua mbalimbali zilizofikiwa na Serikali katika Chmacha cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimeadhimisha Kilele cha Wiki ya Viziwi Duniani ambapo Kitaifa yamefanyika katika Mikoa wa Shinyanga iliyobeba kauli mbiu isemayo 'Ungana kutetea Lugha ya alama'.

Hayo yamesemwa leo tarehe 28 Septemba, 2024 katika wakati akihutubia halaiki hii ambayo ambayo imefanyika katika viwanja vya Sabasaba Manispaa ya Shinyanga hapa mkoani Shinyanga,

Mwenyekiti wa shirikisho la watu wenye ulemavu Tanzania na mjumbe wa Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA Mkoa wa Dar es salaam Bi. Tungi Mwanjara Kwa niaba ya viziwi ameiomba serikali kuajili wakalimani kwenye taasisi za umma na vyombo vya habari Ili kusaidia watu wasiosikia kupata taarifa kamili na muhimu zinazoendelea nchini na Dunia nzima.

"Wakati umefika sasa kwa vyombo vya habari kuwa ba wakalimani wa lugha ya alama ili kuwawezesha watu wasioweza kusikia kupata haki yao stahiki ya kuhabarishwa kama ilivyo kwa watu wengine, amesema Mhe. Katambi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa shirikisho la watu wenye ulemavu Tanzania na mjumbe wa Chama cha Viziwi Tanzania CHAVITA Mkoa wa Dar es salaam Bi. Tungi Mwanjara Kwa niaba ya viziwi ameiomba serikali kuajili wakalimani kwenye taasisi za umma na vyombo vya habari Ili kusaidia watu wasiosikia kupata taarifa kamili na muhimu zinazoendelea nchini na Dunia nzima.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa