• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

PONGEZI KWENU MSALALA KWA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA" RC MNDEME

Posted on: December 13th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme ameupongeza sana uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala kwa ujenzi wa ofisi za watumishi wa Msalala huku akiwataka kubadilika kuwa wapya kama lilivyo jipya jengo la utawala na kwamba waboreshe zaidi utoaji huduma kwà wananchi wanaowahudumia.

RC Mndeme ameyasema hayo leo mara baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye jengo la utawala linalogharimu zaidi ya Bil. 4 ikiwa ni ishara ya kudunguliwa rasmi na kutoa huduma kwa wananchi na kuwapongeza kwa samani za ofisi zilivyo nzuri na bora zaidi kuliko za nje ya nchi, samani zilizonunuliwa hapa wilaya ya kahama na kuelekeza halmasbauri nyingine hasa ya Manispaa ya shinyanga na shinyanga DC kuja kujifunza Msalala.

"Nawapongeza sana uongozi wa Halmashauri ya Msalala kwa kusimamia na kujenga jengo la watumishi na kuamua kununua samani za ofisi hapa hapa wilaya ya kahama zenye thamani zaidi ya zile za nje ya nchi,  na pia nitumie nafasi hii kuwaomba watanzania tupenda vyetu", alisema RC Mndeme.

Aidha RC Mndeme amewaeleza watumishi hawa kuwa, kuwa jengo jipya ni hatua moja lakini kupanga mipango yenye tija kwa wananchi ndiyo jambo muhimu zaidi ili wananchi waweze kuhisi mabadiliko haya muhimu kwao ukizingatia wan ndiyo tunawahudumia na ndiyo maelekezo yq Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwahudumia wananchi.

Awali akitoa salamu za Halmashauri kwa RC Mndeme mkurugenzi wa halmashauri ya msalala Ndg. Hamis Katimba alimshukuru sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaptia fedha hizi ambazo zimewezesha wao kutoka katika kufanya kazi kwenye mazingira magumu ya msongamano ofisini na sasa wanafanya kazi vizuri sana kwa ubora wa huduma unaotakiwa.

Katimba alisema wamebakiza upande mmoja kuhitimisha ujenzi kamili wa jengo ambapo gharama zake ni zaidi ya Bilioni moja na hivyo kukamilisha gharama ya zaidi Bilioni 4 kwa jengo.


Picha zikimuonesha RC MNDEME pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa Halmashauri ya Msalala


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa