• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RAS alia na matumizi mabaya ya fedha Vituo vya Afya

Posted on: June 4th, 2018

Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani Shinyanga wametakiwa kufuatilia sababu za kutotumika kwa fedha zinazotumwa na Serikali katika vituo vya kutolea huduma za Afya kwa lengo la kuboresha huduma.

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela ametoa agizo hilo leo tarehe 04 Juni, 2018 wakati akifungua mafunzo ya maboresho ya mfuko wa Afya ya jamii (CHF), mfumo jazia pamoja na mfumo wa upelekaji wa fedha moja kwa moja katika vituo vya kutolea huduma za Afya ujulikanao kama “Direct Health Facility Fund (DHFF)”.

Msovela amewataka viongozi hao kusimamia matumizi ya fedha hizo, kufuatia kuwepo kwa changamoto kwa baadhi ya Halmashauri kutotumia fedha zinazotumwa na Serikali, kutumia nje ya utaratibu au kutoingiza matumizi katika mfumo wa kielekroniki wa usimamizi wa fedha kwenye vituo vya Afya.

 “Ukiangalia kwa muda mrefu fedha hizi hazitumiki vizuri, shida ni usimamizi na watumishi kufanya kazi kwa mazoea na baadhi yao kufanya nje ya utaratibu na fedha nyingine hazitumiki au kutumika nje ya mfumo” amesema Msovela.

Amesema, kutotumika kwa fedha hizo maana yake ni kuwa wananchi hawapati huduma zinazostahili ikiwemo huduma ya dawa, hivyo kuwakosea haki.

Mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa siku mbili katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa yana lengo la kuwasaidia wataalamu wa Afya kuwa na uelewa wa ugatuaji wa mipango na bajeti na kusimamia matumizi ya fedha hizo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa