• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RAS CP. HAMDUNI AWAPONGEZA TANESCO MKOA WA SHINYANGA

Posted on: October 3rd, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewapongeza Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kwa kuendelea na usambazaji umeme kwa wananchi hasa vijijini vya Mkoa wa Shiinyanga ambapo vijiji 442 kati ya 506 vimewekewa huduma ya umeme.

CP Hamduni amesena haya kwenye Kikao cha TANESCO Mkoa wa Shinyanga na Wadau Wakubwa wa Umeme mkoani kilichofanyika  Oktoba 3, 2024 kilichohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama sanjari na wadau huku ikitajwa takwimu kuwa mpaka sasa  jumla ya wateja 98,716 tayari wameunganishiwa huduma ya umeme ambapo kati ya hao wateja wakubwa ni 110.

“Sote tunatambua TANESCO Mkoa wa Shinyanga imeendelea kuimarisha huduma za umeme vijijini kwa kutekeleza miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusambaza umeme vijijini chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jumla ya vijiji 442 kati ya 506 vimefikiwa na umeme. Ni matarajio ya Serikali kuwa ifikapo mwishoni mwa mwaka 2024 vijiji vyote vilivyobaki (64) vitakuwa vimefikiwa na miundombinu ya umeme," amesema CP. Hamduni.

Kwa upande wake Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mha. Leo Mwakatobe pamoja na kuwashukuru lakini amewashauri wateja wao kurekebisha mifumo yao ya umeme kwenye maeneo yao ili waweze kulipa bili halisi kulingana na matumizi yao.

 “Tunataka muimarishe mifumo yenu ya umeme ili kupunguza malalamiko ya ongezeko la bili za umeme, rekebisheni mifumo yenu ili mulipe pesa kulingana na huduma mnazopata, tunataka tuwatoze fedha kulingana na matumizi halisia”, amesema Mha.  Mwakatobe.

TANESCO Mkoa wa Shinyanga limekutana na Wateja wakubwa wa umeme wakiwemo Wamiliki wa Viwanda na Migodi lengo likiwa ni kuwashukuru, kusikiliza, kupokea maoni kwa lengo la  kuboresha huduma za umeme kwa wateja pamoja na kutoa Vyeti kwa wateja wakubwa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa