• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MACHA AFUNGUA KIKAO CHA KAWAIDA CHA RCC

Posted on: September 13th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amefungua Kikao cha Kawaida cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Shinyanga ambapo pamoja na mambo mengine pia ametumia muda huo kuwakumbusha wajumbe kuwa kuanzia tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024 ni kujiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 13 Oktoba, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano uliopo kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambao umehudhuriwa na viongozi mballimbali akiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni, Wakuu wa Wilaya Mhe. Julius Mtatiro wa Shinyanga na Mhe. Joseph Mkude wa Kishupu, Kamati ya Usalama Mkoa, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Taasisi mbalimbali, viongozi wa dini, Kamati ya Amani na wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambapo pia mkutano utapokea, kujadili na kushauri taarifa mbalimbali zitakazowasilishwa kutoka katika Ofisi na Taasisi zilizopo ndani ya Mkoa.

"Niwashukuru sana kwa mahudhurio yenu, nami nitumie nafasi hii kuwakumbusha kuwa tarehe 11 - 20 Oktoba, 2024 ni kipindi cha Kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura. Hivyo niwaombe tujitokeze na tuwe mabalozi wa kuhamasisha wenzetu kutumia vema siku hizo ili wakati ukifika tukapige kura," amesema RC Macha.

Ikumbukwe kuwa, mwaka huu ni wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba, 2024. Aidha wanananchi wameombwa na kusisitizwa kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali zilizotangazwa kwani ndiyo utekelezaji wa Demokrasia ambapo mtu anayo haki ya kugombea nafasi ya uongozi, kuchaguliwa kama kiongozi na kuchagua kiongozi amtakaye yeye mwenyewe.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa