• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MACHA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KULINDA AMANI.

Posted on: March 2nd, 2025

#shinyanga_rs

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewataka Viongozi wa dini kuhakikisha wanalinda amani kupitia huduma za kiroho kwani zinasaidia kupunguza vijana wa mtaani na kuwaleta katika kanisa sehemu ambayo inawalea katika maadili na kuwa vijana wema katika nchi.

RC Macha ameyabainisha haya Machi 2, 2025 aliposhiriki hafla ya harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Moravian Usharika wa Kitangili Manispaa ya Shinyanga ambapo amesema kuwa viongozi wa dini ni wadau wakubwa katika kulinda amani ya nchi yetu.

“Ninawaasa viongozi wangu wa dini kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha mnalinda amani kupitia huduma za kiroho mnazozitoa katika makanisa kwani zina msaada mkubwa katika kuilinda amani na kuhimiza maendeleo ya nchi yetu," alisema RC Macha.

Aidha amewaomba viongozi wa kanisa kuwashirikisha viongozi wa Serikali katika ujenzi wa kanisa hili, ikiwemo kutafuta hati ya eneo hilil, pamoja na kushirikiana na wataalamu wa ujenzi kuandaa ramani pamoja na Makisio ya Gharama ya Ujenzi (BOQ) ya kanisa.

RC Macha alihitimisha hafla hiyo kwa kuwaambia kuwa yuko tayari kuwaletea wataalam watakaoweza kuwashauri juu ya ujenzi wa kanisa hili ili kuepusha na madhara amabayo yanaweza kutokea iwapo kanisa hili likajengwa chini ya kiwango.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AZINDUA MPANGO WA KITAIFA WA UGAWAJI WA MBEGU BORA KWA WAKULIMA MSIMU WA 2025/2026

    October 23, 2025
  • SHINYANGA YAPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA KWA NGUVU MPYA

    October 21, 2025
  • AFISA UTAMADUNI MKOA AKUTANA NA MAAFISA UTAMADUNI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA SHINYANGA KUJADILI UBORESHAJI WA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA MAKTABA ZA VIDEO

    October 21, 2025
  • RC MHITA AKABIDHI MAGARI 5 MAPYA KWA JESHI LA ZIMAMOTO SHINYANGA, ASEMA YATASAIDIA KUOKOA MAISHA ZAIDI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

SHINYANGA IKO SALAMA, WANANCHI JITOKEZENI KUPIGA KURA KWA AMANI - RC MHITA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa