• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KM 1.39 KAHAMA MANISPAA AMUAGIZA MKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA KWA KUZINGATIA UBORA, BAJETI NA MUDA

Posted on: September 22nd, 2023

Na. Shinyanga RS

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina  Mndeme ametembelea, kukagua na kumuagiza Mkandarasi M/S Hajoka Int. Company Ltd wa Kahama kuongeza kasi ya ujenzi  wa barabara ya kiwango cha lami KM 1.39 zilizopo Kata ya Nyihogo - Manispaa ya Kahama ambapo zaidi ya Bil. 1.2 kutumika fedha kutoka mapato ya ndani ya Manispaa.

Agizo hili amelitoa Septemba 20, 2023 wakati wa ziara yake Wilayani Kahama ambapo pamoja na mambo mengine lakini alijikita katika ufuatiliaji wa utekelezaji wa kazi za Mkandarasi tajwa hapo juu ambaye anasimamiwa na Meneja wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Wilaya ya Kahama ambapo inajengwa kwa awamu 2.

Awamu ya kwanza ni ujenzi wa KM 0.36 katika Barabara ya Lumumba KMm 0.13 na Ntelya Km 0.23, awamu ya pili ni ujenzi wa Km 1.03 katika barabara za Furaha Km 0.3 Kazaroho Km 0.4 na Kazaroho Sokoni Km 0.33

Aidha Mhe. Mndeme akisisitiza kuwa  hakuna Mkandarasi kuongezwa muda kwa sababu fedha zipo na amekiri hapa hivyo anapaswa kukamilisha ndani ya muda na kiwango ubora.

Kando na hayo Mhe. Mndeme amewataka wananchi wa maeneo hayo kuwa walinzi wa miundomninu hiyo ili isihujumiwe sambamba na kuacha kutupa taka hovyo jambo ambalo linavhafua mji, kupelekea ,uziba kwa mifereji na kuharibu mazingira.

"Nakuagiza Mkandarasi kuhakikisha unakamilisha kazi hii wa wakati na kwa kuzingatia ubora, bajeti, muda ufuate maelekezo ya Serikali ili wananchi hawa waanze kutumia barabara hizi," alisema Mhe. Mndeme.

Kwa upande wake Mkandarasi ambaye anatekeleza ujenzi wa miundombinu ya barabara hizo kwa kiwango cha lami Manispaa ya Kahama Hajoka International Company  Johansen Kajuna ameahidi kukamilisha ujenzi huo kwa wakati ambapo awamu ya kwanza ya kukamilisha ni tarehe 05 Oktoba, 2023 na awamu ya pil ni Machi, 2023

Mhe. Mndeme anahitimisha ziara yake katika Halmashauri ya Ushetu, Msalala na Manispaa ya Kahama hapa Wilayani ya Kahama ambapo baadae atafanya mkutano wa hadhara, kusikiliza na kutatua kero za wananchi hapa Kahama.

HABARI NA MATUKIO


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa