• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AONGOZA WANASHINYANGA KUTOA HESHIMA YA MWISHO

Posted on: November 19th, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme leo tarehe 19 Novemba, 2023 ameongoza wananchi, viongozi wa dini, serikali na chama katika kutoa heshima ya mwisho kwa Salu Ndongo aliyekuwa Afisa Ardhi Mfawidhi Manispaa ya Shinyanga tukio lililofanhika katika Kanisa la Waadventista Wasabato lililopo Shinyanga huku akiwakumbusha kuishi kwa utayari kwani hatujui siku wala saa ambapo tutakumbwa na umauti.

Mhe. Mndeme amesema kuwa, alipokea kwa mstuko taarifa ya msiba huu kwakuwa alikuwa akimfahamu na uchapa kazi wake na kwamba serikali inatoa pole sana kwa wanajumuiya ya shinyanga manispaa kwa ujumla kwa msiba huu, na kumsihi Mjane wa marehemu na kumtaka kushikilia zaidi msalaba pamoja na kumtumainia Yesu kwakuwa yeye ni mfariji wakati wote na baba wa Yatima na Wajane.

"Ndugu zangu, msiba huu unatukumbusha kuishi kwa utayari kwani hatujui siku wala saa umauti nasi utatukuta, pia tuendelee kumtumainia Mungu wakati wote," alisema Mhe. Mndeme.

Kwa upande wake Mchungaji wa Kanisa la Waadventista Wasabato Razalo Mbogo amesema kuwa, yeye binafsi amemfahamu kwa muda mrefu sana marehemu Ndongo, na kwamba alikuwa mchapakazi anayehudumia wananchi kwa haraka na kwa uzalendo zaidi na ndiyo maana msiba huu umegusa wananchi wengi zaidi.

Marehemu Salu Ndongo alifariki tarehe 17 Novemba, 2023 kwa ajali ya gari aliyokuwa akiendesha mwenyewe katika eneo la kalogo manispaa ya shinyanga na mazishi yatafanyika kijijini kwao Gangabilili, wilaya ya Itilima - Simiyu.

......Raha ya milele umpe eebwana, apumzike kwa amani Salu Ndongo...Amin

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa