• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME APOKEA UJUMBE WA MKANDARASI WA UJENZI WA MRADI WA UMEME JUA - SOLAH PHOTO VOLTAIC

Posted on: June 28th, 2023

Na. Shinyanga RS

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme amepokea UJUMBE wa MKANDARASI kutoka Kampuni ya Sinohydro Corporation ya nchini China ukiongozwa na Mhandisi Emmanuel Anderson ambaye ni Meneja Mradi wa UMEME WA JUA TANESCO Makao Makuu ambao wamekuja kujitambukisha rasmi kuanza kwa utekelezaji wa mradi huo kutumia unaojulikana kama SOLAR PHOTO VOLTAIC katika Kijiji cha Ngunga Kata ya Talaga Wilayani Kishapu hapa Mkoa wa Shinyanga.

Akitoa salamu za Serikali Mhe. Mndeme alimempongeza sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada zake kwa wananchi wa Tanzania hususani wa Mkoa wa Shinyanga kwa kuwezesha mradi huu hyjky akiwakaribisha tena kwa mikono miwili katika Mkoa wa Shinyanga.

 

“Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga tunampongeza sana kwa kuendelea kutuhudumia na kutuletea maendeleo ambapo sasa tunakwenda kushuhudia ujenzi huo muda siyo mrefu ikiwa ni mradi wa jumla ya Megawatts 150, karibuni sana na katika hili niseme tu kuwa Serikali ipo nanyi bega kwa bega na kwamba itawapatia ushirikiano mkubwa wakati wote mtakapokuwa hapa.

Ikumbukwe kuwa huu ni mradi mkubwa zaidi wa umeme jua kuwahi kutokea Tanzania na Ukanda wa Afrika Mashariki unatekelezwa katika Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga ambapo unatarajiwa kukamilika Agosti 2024.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa