• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME APOMEA NA KUKABIDHI MIPIRA YA MIGUU 1000 KWA HALMASHAURI ZA MKOA WA SHINYANGA

Posted on: February 28th, 2024

RC MNDEME APOKEA NA KUKABIDHI MIPIRA 1000 KWA HALMASHAURI ZA MKOA WA SHINYANGA

Na. Shinyanga RS

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amepokea mipira 1000 kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ( TFF) na kukabidhi kwa Halmashauri za Mkoa wa Shinyanga huku akizielekeza kwenda kutumia mipira hii kwa lengo lililokusudiwa ikiwemo kukuza vipaji kwa vijana, kuimarisha michezo na kuibua vipaji vipya

Makabidhiano haya yamefanyika tarehe 28 Feb, 2024 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo pamoja na maelekezo hayo kupitia kwa Maafisa Michezo wa Halmashauri, RC MNDEME ameipongeza sana na kuishukuru TFF kwa kuupatia Mkoa mipira hii.

"Pamoja na shukrani nyingi kwa TFF lakini nizielekeze Halmashauri za Mkoa wa Shinyanga, kwenda kutumia mipira hii kwa lengo lililokusudiwa na siyo vinginevyo", amesema RC MNDEME.

Aidha, amewataka walimu wa michezo kutoiweka Stoo mipira hii, bali ikaanze ikatumike kwa maandalizi ya michezo ya Umitashumita na Umiseta.Taifa.

Kipekee amempongeza sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassàn Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maboresho makubwa ambayo ameyafanya katika Sekta ya Michezo Nchini ambuapo sasa kupitia timu zetu tunashuhudia mafanikio mbalimbali.

Halmashauri zilizonufaika na gawiwo hili ni  Manispaa ya Kahama wanapewa mipira 200, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  200, Ushetu 150, Msalala 150, Kishapu 150 na Manispaa ya Shinyanga mipira 150.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa