• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME ASHIRIKI HAFLA YA KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA KUWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUWALEA WATOTO KATIKA MAADILI MEMA. RC MNDEME ASHIRIKI HAFLA YA KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA KUWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUWALEA WATOTO KATIKA MAADILI

Posted on: June 17th, 2023

 Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ameshiriki katika sherehe ya kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari KOM ilyopo Manispaa ya Shinyanga na kuagiza wazazi na walezi wote kuwalea Watoto kwa kuzingatia maadili yetu ili wasije kuiga ya nchi za nje ambayo hayaendani na utamaduni wetu huku akiwataka kuwawekea akiba Watoto wao katika Benki ya CRDB kupitia akaunti maalumu ya JUNIOR JUMBO ACCONT (JJ).

Hayo yamesemwa leo na tarehe 18 JUNI, 2023 wakati akizungumza na watoto pamoja na wazazi/walezi wao kwenye sherehe hiyo iliyoandaliwa na Benki ya CRDB na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kamati ya Usalama, wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, waalimu na uongoz wa Shule ya Sekondari KOM.

Mhe. Mndeme alisisitiza sana suala la maadili kuwa kumekuwa na mmomomyoko mkubwa sana wa maadili hasa kwa Watoto na vijana wa kiume jambo ambalo linapelekea kuhatarisha usalama wa kizazi cha sasa na maadili ya Taifa jambo ambalo amesema ni hatari na kwamba wazazi sasa wanao wajibu mkubwa wa kulinda, kukemea, kuelimisha na kusimamia Watoto wetu.

“Sote tunafahamu kuwa hivi sasa Dunia imekuwa Kijiji kimoja, hii ni kutokana na muingiliano wa tamaduni za mataifa mbalimbali na sisi kama watanzania tunazo tamaduni zetu ambazo tumezirithi kutoka kwa mababu zetu, hivyo nitoe wito kwa wazazi na walezi Mkoa wa Shinyanga tuzienzi nz kuzitunza na kuzidumisha tamaduni zetu,” alisisitiza Mhe. Mndeme.

Awali akitoa taarifa mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ambaye ndiye mgeni rasmi Kaimu Meneja Kanda ya Magharibi Ndg. Jumanne Wagana alisema kuwa, katika kuadhimisha siki ya mtoto wa afrika CRDB MKOA WA SHINYANGA waliamua kushirikiana na uongozi wa Shule ya Sekondari ya KOM.

Wagana alimueleza mgeni rasmi kuwa katika kuadhimisha sherehe hizi CRDB inayofuraha kubwa kuwaarifu wazazi na walezi wote Mkoa wa Shinyanga kuwafungulia Watoto wao Akaunti Maalumu ya Junia Jumbo Akaunti (JUNIOR JUMBO ACCOUNT) akaunti ambayo mtoto atawekewa fedha zake , kwa ajili jambo maalumu kama vile kulipia ada nk lakini pia haina makato, na inayo riba au faida ambayo mzazi au mlezi ataipata kupitia akaunti hiyo ambayo inatajwa kuwa mkombozi kwa elimu ya watoto wote.

 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • NATOA WITO KWA VIJANA HAPA SHINYANGA KUREJEA NA KUTATHIMINI UPYA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO - RC. MACHA

    May 20, 2025
  • SERIKALI YATHIBITISHA VIFO VYA WATU SITA NA MAJERUHI 11 KATIKA AJALI YA MGODI WA MWAKITOLYO.

    May 18, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI, NENDENI MKAWE MABALOZI SAHIHI WA KAZI ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN – RC. MACHA

    May 16, 2025
  • WAZAZI NA WALEZI WEKEZENI ZAIDI KATIKA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO – LYAMONGI

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa