• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AUNDA KAMATI NDOGO YA KUIKWAMUA STAND UNITED

Posted on: December 20th, 2023

MKUU wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme leo tarehe 20 Res, 2023 ameunda kamati ndogo yenye lengo la kuiikwamua Timu ya Stand United ambayo inapitia wakayi mgumu ikiwemo kifdha.

RC Mndeme amefikia uamuzi wakati alipokuwa akiongoza kikao cha wadau wa michezo mkoa wa shinyanga ambapo alisikiliza na kupokea maoni ya wadau ambaonkwa kauli moja walishauri umuhimu wa uwepo wa kamati isiyozidi watu watano ambapo kamati itakutana, kujadili na kupendekeza namna ambavyo itakutana na wadau.

Kamati pia itakuwa na wajibu pia wa kujadiliana na wadau na kisha kupeleka mapendekezo kwake kwa lengo la kuivusha timu hii ambayo kwa sasa inasemekana kuwa katika wakati mgumu sana wa kifedha.

"Ndugu zangu wajumbe, nimesikiliza maoni na usari wa wajumbe mbalimbali sasa nitaunda kamati ndogo itakayokuwa na wajib wa kuratibu, kufuatilia na kutekeleza maelekezo ya wadau mbalimbali kwa lengo la ku8nusuru timu yetu, nami nashauri iongozwe na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi", alisema Mhe. Mndeme.

Pamoja na mambo mengine, kamati kwa kauli moja imwridhia kuikwamua timu ya mpira wa miguu ya atand united na kusitisha mambo mengine yahusuyo michezo kwa sasa kwakuwa inapitia wakati mgumu sana.

Kamati iliyoundwa inamjumlisha Mhe. Johari Samizi ambaye ni mkuu wa wilaya ya ahinyanga, Mhe. Elias Masumbuko ambaye ni Mstahiki Meya Manispaa ya ahinyanga, Mhe. Masalu Nyese ambaye ni Diwani Kata ya mwakitolyo, Base Kamanda Shinyanga (JWTZ Kanali Sunzu Machuza na Afisa Michezo mkoa wa shinyanga Bi. Jesca na Benard Mihayo afisa uhusiano Mgodi wa Mwadui.

Awali akimkaribisha Mhe. Mndeme, Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo ambaye ndiye wenyekiti wa Michezo mkoa wa shinyanga alimuambia kuwa, wadau wamekusanyika hapa wakiwa na shauku ya kumsikia RC Mndeme juu ya masuala mbalimbali yahusuyo michezo mkoa wa shinyanga ikiwemo Stand United.

Kando na hayo, pia RC Mndeme aliendesha harambee kwa kuanzia ambapo ilipatikana Tzs. MIl. 8.7 huku taslimu ikiwa Mil. 1.6 na nyingine ni ikiwa ni ahadi zilizotolewa na wadau mbalimbali.

Prof. Siza Tumbo, ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa shinyanga akifuatilia mjadala wakati wa kikao

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi (kushoto) akiwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Masumbuko wakati wa kikao cha wadau wa michezo

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa