• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 2023

Posted on: July 26th, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka wananchi Mkoani Shinyanga kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 ambapo utqpokelewa katika Shule ya Msingi Buganika iliyopo Wilaya ya Kishapu ukitokea Mkoani Simiyu.

Mhe. Mndeme ameyasema hayo leo tarehe 26 Julai, 2023 Ofisini kwake alipokuwa akiongea na wa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kupitia vyombo vya habari ambapo amewaeleza kuwa Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Shinyanga utakimbizwa Kilomita 571.5 kuweka mawe ya msingi, kuona miradi, kufungua pamoja na kuzindua miradi 41 yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 14.

"Nitumie nafasi hii kuwaomba wananchi wote wa Mkoa wa Shinyanga kujitokeza kwa wingi wakati wa mapokezi ya Mwenge wa Uhuru katika viwanja vya Shule ya Msingi Buganika Wilayani Kishapu kwa ajili ya kupokea Mwenge, pia mjitokeze kwa wingi kwenye miradi yetu yote ambapo Mwenge wa Uhuru utafika ili kutoa hamasa na kuonesha upendo wetu unaoambatana na uzalendo kwa wakimbiza Mwenge na kwa wale watakaokwama kufika basi wajipange pembezoni mwa barabara ambapo Mwenge utapita wakiwa na majani kuoneaha AMANI IPO," alisema Mhe. Mndeme.

Mwenge wa Uhuru utapokelewa Mkoani ShinyangaTarehe 27 Julai, 2023 ukitokea Mkoa wa Simiyu na utakabidhiwa tarehe 2 Agosti, 2023 Mkoani Geita.

Kauli Mbiu: Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe hai na Uchumi wa Taifa.

Picha ikionesha wanahabari wakati wa mkutano ndani ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa