• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AZINDUA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA MKOA WA SHINYANGA

Posted on: June 11th, 2023

Na. Shinyanga RS

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme amezindua rasmi Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria kwa Mkoa wa Shinyanga pamoja na kumshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za kampeni hii huku akitoa agizo kwa kila Kata kutenga Chumba Maalumu kwa ajili ya kuhudumia masuala yote yahusuyo msaada wa kisheria.

Mhe. Mndeme ambaye alikuwa mgeri rasmi wa hafla ya uzinduzi huu ameyasema leo tarehe 11 Juni, 2023 katika viwanja vya Sabasaba vilivyopo Manispaa ya Shinyanga hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa kiserikali, dini na Chama cha Mapinduzi kutoka katika Wilaya zote za Mkoa huku akiwataka wananchi kujitokeza kuzitumia vema siku hizi 10 na kuwapa ushirikiano wataalamu wanaokwenda kutoa huduma kwao katika kila Vijiji 3 na Mitaa 3 kutoka kwenye kila Kata.

"Nawaagiza viongozi wote katika kila Kata kuhakikisha wanatenga chumba maalumu kwa ajili ya kutoa huduma za msaada wa kisheria, lakini pia nitumie nafasi hii kuwataka viongozi wote kwenda kuhamasisha wananchi wajitokeze kuhudumiwa katika kipindi hiki maalumu cha siku 10 na muwatangazie waziwazi kwamba huduma hii ni bure kabisa hakuna malipo yoyote," alisema Mhe. Mndeme.

Awali akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Poline Gekulu alimshukuru sana Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutumia jina lake katika kampeni hii huku akimshukuru pia kwa kutenga fedha nyingi kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wengi wasiokuwa na uwezo wa kutetea haki zao katika kwro za Ardhi, Ndoa, Mirathi na Usia na kwamba wanakwenda kuwafikia walengwa wote huku akiwaomba viongozi wote kuendeleza utaratibu huu wa kutatua kero za wananchi hata baada ya kampeni hii kuisha muda wake.

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imezinfuliwa rasmi katika Mkoa wa Shinyanga ukiwa ni Mkoa wa 3 Kitaifa kuzindua baada ya Dodoma na Manyara na sasa Mkoa wa Shinyanga kampeni ikiwa na lengo mahsusi la kutatua kero za Mirathi, Ndoa, Mali, Urithi pamoja na changamoto zote zinazowagusa wananchi.

Picha zikimuonesha Mhe. Christina Mndeme, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Poline Gekulu na baadhi ya viongozi wakitembelea na kusikiliza kero mbalimbali kutoka kwa wananchi waliojitokeza wakati wa uzinduzi wa kampeni.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa