• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC Telack awaonya Wakandarasi kuheshimu kazi za Serikali

Posted on: October 21st, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amewaonya wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa miradi mbalimbali Mkoani hapa kuwa makini na kazi wanazopewa na Serikali na kufuata maelekezo yaliyomo kwenye mikataba ya kazi.

Mhe. Telack ametoa onyo hilo mapema leo tarehe 21 Oktoba, 2019 wakati akikagua mradi wa ujenzi wa Dampo katika eneo la Nhelegani, Manispaa ya Shinyanga unaojengwa kwa shilingi milioni 484 na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba mwaka huu, chini ya Mkandarasi aitwaye Jonta Investment.

“Kazi ya Serikali iogope kama ukoma,ulichoambiwa kufanya fanya hivyo hivyo, kama kuna shilingi umeambiwa utoe ili utengeneze chini ya kiwango siyo kwa Mkoa huu” amesema Telack.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TUNAMPONGEZA NA KUMSHUKURU MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUENDELEA KUJALI AFYA ZA WANANCHI

    June 23, 2025
  • TUTAENDELEA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI – RC. MACHA

    June 17, 2025
  • SERIKALI ITAENDELEA KUWALINDA WAZEE- NAIBU WAZIRI MWANAIDI

    June 15, 2025
  • SERIKALI YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ITAENDELEA KUWATAMBUA, KUWATHAMINI NA KUWAHESHIMU WAZEE – RC MACHA

    June 14, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa