• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI INATAMBUA, KUHESHIMU NA KUTHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YA DINI LIKIWEMO KANISA KATOLIKI - RC MACHA.

Posted on: December 19th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa Serikali inatambua, inaheshimu na kuthamini kazi na mchango mkubwa unaotolewa na madhehebu ya dini likiwemo Kanisa Katoliki huku akiwaomba waumini kuendelea kumuombea baraka Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ili aendelee kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi wake wakiwemo wa Shinyanga.

RC Macha ameyasema haya leo tarehe 19 Desemba, 2024 wakati wa Misa ya Utolewaji wa Daraja la Ushemasi kwa Deusdedith Nkandi ambapo pamoja na mambo mengine amempongeza sana kwa hatua hii na kumuahidi kuwa Serikali inamtegemea sana na kwamba itafanya naye kazi wakati wote ili aweze kufikia malengo yake ya kwenda kuhubiri neno la Mungu na kutangaza upendo kwa msaada wa Roho Mtakatifu na kumuomba pia kwenda kuwahamasisha vijana wafanye kazi kwa bidii na waishi maisha mema yenye kumpende Mwenyezi Mungu.

"Serikali inatambua, inaheshimu na inathamini sana mchango wa madhehebu ya dini zote likiwemo Kanisa Katoliki, na kipekee kabisa nimpongeze Shemasi Nkandi na nimuahidi tu kuwa Serikali tutafanya naye kazi wakati wote na ukumbuke tu kuwa kwa kuwa wewe bado ni kijana, tunakutegemea sana kwenda kuwasaidia vijana wenzio waweze kuishi maisha mema ya kumpendeza Mungu na wafanye kazi pia kwa juhudi," amesema RC Macha.

Ibada hii ya kumpandisha daraja Shemasi Nkandi imefanyika katika Kanisa Kuu la Mama mwenye huruma lililopo Ngokolo Manispaa ya Shinyanga imeongozwa na Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akiwa na mwenyeji wake Askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa