• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Serikali kutenga maeneo ya kupanda miti kila kijiji

Posted on: April 6th, 2018

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangala amewaagiza Wakuu wa Mikoa kusimamia na kuhakikisha kila kijiji kinatenga maeneo yatakayohifadhiwa kwa ajili ya kuhifadhi misitu na kuunda kanuni na taratibu za kiasili za kulinda maeneo hayo.

Mhe. Kigwangala ametoa agizo hilo jana, akizungumza na wanachi katika kuhitimisha  kilele cha maadhimisho ya Upandaji Miti kitaifa yaliyofanyika katika uwanja wa Mji mdogo Mhunze, Wilaya ya Kishapu.

Sambamba na hilo ameuagiza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuchagua Mikoa 10 itakayotakiwa kuanza utekelezaji wa agizo hilo ikiwemo Mikoa ya Shinyanga, Tabora na mingine inayokabiliwa na athari za uharibifu wa misitu ya asili.

Amewataka kutoa elimu kwa Serikali za vijiji waelewe umuhimu wa kuhifadhi maeneo na kuyalinda wakati Wizara ikiwa katika mchakato wa kuandaa na kuleta mwongozo kuhusu utunzaji wa maeneo hayo.

Mhe. Kigwangala amesema kuna mabadiliko makubwa yametokea tangu mwaka 2010 hadi sasa, kutokana na kukata miti, kuharibu misitu ya hifadhi, kuvamiwa vyanzo maji, kuanzishwa vijiji vipya,

“Uharibifu wa mazingira unakuwa kwa kiwango kikubwa, tusipokuwa macho taifa litaangamia tutakosa mvua, maji ya kunywa, malisho na chakula. Tutaishi wapi”  amesema Kigwangala na kuongeza kuwa, idadi ya watu inaongezeka kila mwaka lakini ardhi ni ileile hivyo kuna kazi kubwa ya kufanya hasa hasa kupanda miti.

Kigwangala amesema kuwa, hivi sasa ukataji wa miti kwa mwaka kwa mahitaji mbalimbali ni kati ya ekari 800 elfu hadi milioni 1. 2. Kwa hali hiyo inatakiwa kupanda miti milioni 300 mfululizo kila mwaka kwa mika 17 ili kufikia nusu ya kiwango cha uharibifu unaofanywa kwa mwaka mmoja tu.

Maadhimisho ya upandaji miti Kitaifa yamefikia kilele chake jana Wilayani Kishapu ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni “ Tanzania ya Kijani inawezekana, tupande miti kwa maendeleo ya viwanda”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUOMBA NAFASI YA UJUMBE WA BODI YA HOSPITALI YA MKOA January 03, 2020
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha nne 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya upimaji wa Kitaifa Kidato cha pili 2019 January 09, 2020
  • Mwenge wa Uhuru kuwasili Mkoani Shinyanga May 07, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU 100

    June 27, 2021
  • SIKU MIA 100 ZA RAIS SAMIA

    June 27, 2021
  • DKT. SENGATI AHAIDI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA UMASIKINI SHINYANGA

    June 05, 2021
  • Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga aapishwa

    June 02, 2021
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa