Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Serikali yafungia shughuli za Kiwanda cha Punda

Posted on: June 7th, 2018

Serikali imeuagiza uongozi wa kiwanda cha kuchinja Punda Mkoani Shinyanga kusimamisha shughuli zake hadi hapo watakapotekeleza sheria na taratibu za uendeshaji wa kiwanda ikiwemo kuweka mifumo iliyoelekezwa ya kuteketekeza taka ngumu.

Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mhe. Kangi Lugola ametoa agizo hilo wakati akikagua kiwanda hicho katika ziara yake ya siku moja Mkoani hapa tarehe 06/06/2018.

Mhe. Lugola ametoa siku 2 kwa kiwanda hicho, kuondoa mizoga na uchafu wote eneo la kiwanda pamoja na kushughulikia mizoga hiyo kwa namna bora inayotakiwa, hadi hapo Baraza la Taifa la Uhifadhi na usimamizi wa mazingira (NEMC) litakapofanya uhakiki na kuridhia kuendelea kwa shughuli kiwandani hapo.

Katika ziara hiyo imebainika kuwa, kiwanda kimekaidi maagizo ya Manispaa ya Shinyanga ya kuacha kuchoma mifupa na uchafu wa matumbo katika eneo la kiwanda licha ya kuagizwa kwa maandishi tangu mwezi Machi mwaka huu.

"Wamekuwa na mifumo duni isiyokidhi matakwa ya kimazingira, Serikali ya Rais Magufuli haimuogopi Mwekezaji anayevunja sheria na kukaidi maagizo ya Serikali" amesema Mhe. Lugola.

Katika hatua nyingine Naibu Waziri Lugola amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Bw. Geoffrey Mwangulumbi kuhakikisha mitaro inayotoka kwenye machinjio ya Manispaa iliyopo katika eneo la Nguzo Nane, pamoja na Mitaro mingine yote ya aina hiyo, inazibuliwa na kusafishwa ndani ya wiki moja ili kuondoa harufu mbaya eneo hilo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa