• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SIKU YA TATU YA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA – 2025

Posted on: July 1st, 2025

Sabasaba, Dar es Salaam.

Ikiwa ni siku ya tatu tangu kuanza rasmi kwa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba mwaka 2025, wananchi pamoja na wageni kutoka maeneo mbalimbali wameendelea kujitokeza kwa wingi kutembelea, kununua bidhaa na kupata huduma mbalimbali katika mabanda ya Mkoa wa Shinyanga.

Hali hii imekuwa chachu ya mafanikio kwa wafanyabiashara wetu kwa kuwawezesha kupata fursa ya ya kukutana, kubadilishana uzoefu, na kujifunza kutoka kwa wenzao kutoka mikoa na mataifa mbalimbali.

Ushiriki wa Mkoa wa Shinyanga kupitia uratibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa unaendelea kuwa jukwaa muhimu la kuwatangaza Wafanyabiashara wa ndani ya Mkoa, kutangaza bidhaa na hudjma zao, kutangaza fursa zilizopo mkoani, katika sekta mbalimbali zikiwemo elimu, uwekezaji, viwanda, miundombinu, kilimo, mifugo, afya, uongezaji thamani bidhaa, maji nk. Fursa hizi zimekuwa kivutio kikubwa kwa wawekezaji na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya nchi.

Kupitia maonesho haya, uongozi wa Mkoa unaendelea kujenga uwezo na kujiamini katika kushawishi na kuvutia wawekezaji zaidi kuja kuwekeza Shinyanga. Hili linawezekana kutokana na mazingira rafiki na wezeshi yanayoendelea kuimarishwa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Serikali imeendelea kuweka mazingira bora kwa ajili ya uwekezaji, yakiwanufaisha wawekezaji wazawa na wageni kwa pamoja.

Mkoa wa Shinyanga unawakaribisha wadau wote kutembelea mabanda yetu ili kujionea fursa zilizopo na kushirikiana nasi katika kuwaletea wananchi maendeleo endelevu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa