• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TAASISI ZA FEDHA, IGENI MFANO WA CRDB BENKI - MHE. MAVUNDE

Posted on: August 19th, 2024

Na. Paul Kasembo, KAHAMA.

WAZIRI wa Madini Mheshimiwa Anthony Mavunde ametoa wito kwa Benki na Taasisi nyingine za kifedha nchini kuiga mfano wa CRDB Benki ya ambayo inatajwa kuwa kinara katika kufsiri maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo leo hii imetoa mfano wa Hundi yenye thamani ya Bilioni 10 kwa wachimbaji wa madini wakiwemo wadogo katika hafla iliyofanyika Manispaa ya Kahama huku akiwapongeza sana kwa utekelezaji huu wa kuigwa.

Mhe. Mavunde ameyatamka haya leo tarehe 19 Agosti, 2024 alipokuwa akikabidhi mfano wa hundi hii hafla ambayo pia imeshuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita ambaye ndiye mwenyeji wa tukio hili, viongozi mbalimbali wakiwemo na wataalam kutoka CRDB Benki wakiongozwa na mwenyeji wao ambaye pia ni Meneja Kanda ya Magharibi ndg. Jumanne Wagana (Mchumi).

"Pamoja na pongezi nyingi zaidi kwa CRDB Benki, nichukue nafasi kutoa wito kwa Benki nyingine pamoja na Taasisi zote za fedha kuiga mfano walioufanya leo CRDB Benki wa kuwapatia mkopo rahisi wachimbaji wa madini Kanda ya Ziwa Bil 10 kwa ajili ya kwenda kuimarisha shughuli zao katika maeneo wanayotoka, na hili ndiyo lengo la Serikali yetu," amesema Mhe. Mavunde. 

Kwa upande wake Mkuu wa  Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa Shinyanga ni moja ya Mikoa ya kimadini ambao unatambua mchango wa Sekta ya madini na kwamba kwa mwaka 2023/2024 Mkoa ulifikisha  85% ya ukusanyaji wa maduhuli, kwa msingi huu upatikanaji wa mikopo kwa wachimbaji wadogo utachochea zaidi shughuli za uchimbaji wa madini jambo ambalo litasaidia kuongeza na kuchechemua uchumi wa wananchi na kuongeza pato la Serikali.

Mwaka 2023 Serikali kupitia kwa Mhe. Mavunde iliwaeleza watendaji wa Benki nchini juu ya changamoto ya upatikanaji wa wa huduma za kifedha ikiwemo upatikanaji wa mikopo kwa wachimbaji wadogo na kuwataka kuangalia namna ya kurahisisha upatikanaji wake ambapo leo CRDB Benki wametekeleza kwa vitendo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa