• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TAKRIBANI WATU LAKI 6 WAMEAJIRIWA NA KAMPUNI ZA JAMBO - NICKSON

Posted on: September 17th, 2024

Na Paul Kasembo, Shy Rs.

Msimamizi wa Nembo ya Jambo Group ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jambo Fm Nickson George amesema Kampuni za Jambo zimekuwa mstari wa mbele katika kuboresha maisha ya watanzania kwani zimefanikiwa kutoa ajira kwa watu takribani 600,000 ambao wananufaika na Kampuni hizo.

Ameyasema hayo katika uzinduzi wa nembo mpya ya bidhaa za Jambo Group ambao umefanyika katika viunga vya Kampuni za Jambo Ibadakuli, Shinyanga ambapo ameeleza namna ajiri hizo zinaenda kuboresha maisha ya watanzania na kuyafanya yawe na furaha na bora zaidi.

“Sisi kama Kampuni za Jambo Group tumekuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunaboresha maisha ya watanzania hususani wanashinyanga kwani mpaka sasa tumefanikiwa kuajiri watu takribani 600,000 ambao wananufaika moja kwa moja na Kampuni hizi na kupitia jaira hizi maisha yao yanazidi kuwa na furaha na bora zaidi” amesema Nickson.

Kwa nyakati tofauti viongozi wamekuwa wakitangaza na kuhamasisha wawekezaji kuja kuwekeza hapa Shinyanga.

Kwa ujumla Mkoa wa Shinyanga ni moja kati ya Mikoa yenye fursa nyingi zaidi za uwekezaji, ambapo raailimali zote zinapatikana ikiwa ni pamoja na watu, ardhi, nishati ya umeme wa kutosha, maji, miundombinu ya barabara, kiwanja cha ndege cha Kahama, kiwanja kikubwa cha ndege cha Ibadakuli inaratajiwa kukamilika, reli na usalama.

Kampuni za Jambo Group zilianzishwa mwaka 1998 na zinamilikiwa na Salum Salum ambazo zinazalisha bidhaa mbalimbali zikiwemo mikate, biskuti, maji ya kunywa pamoja, aiskrimu na zinachangia kwa kiasi kikubwa kukuza uchumi wa wananchi Mkoa wa Shinyanga.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa