• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TANROADS, Halmashauri wahimizwa kutoa elimu ya matumizi ya barabara

Posted on: February 14th, 2018

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) pamoja na Mamlaka za Serikali za Mitaa zimetakiwa kushirikiana katika kutoa elimu ya matumizi sahihi ya barabara kwa wananchi ili kukabiliana na changamoto zinazosababisha uharibifu wa barabara na mazingira.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack ameyasema hayo wakati akifungua kikao cha Bodi ya barabara kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi yake Mkoani hapa.

Mhe. Telack amesema, TANROADS pamoja na Halmashauri zote waunganishe nguvu katika kutoa elimu kwa wananchi japokuwa wakati mwingine ni wananchi wenyewe kutojali hali inayosababisha barabara kuharibika mapema.

"Kumekuwa na changamoto nyingi katika Sekta ya barabara katika Mkoa wetu zikiwemo wananchi kutokujali au kutoelimishwa vya kutosha juu ya utunzaji wa Barabara kwa kulima, kujenga, kufanya biashara ndogo ndogo na hata kuegesha magari kwenye hifadhi ya barabara, hii huchangia barabara hizo kuharibika mapema na wakati mwingine kuzifanya zisipitike kwa urahisi hasa sehemu za miji yetu na Makao Makuu ya Wilaya".

Aidha, Mhe. Telack amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Mkoani Shinyanga kuwapa maelekezo Wakuu wa shule ili wawaelimishe watoto namna ya kuvuka barabara pamoja na athari za kutokuwa makini katika uvukaji wa barabara ili kupunguza ajali za watoto kugongwa na magari mara kwa mara.

Baadhi ya wajumbe wa Bodi hiyo wakichangia katika kikao hicho pia wameungana na Mhe. Mkuu wa Mkoa na kutaka sheria ndogo zitumike kuwabana wananchi wanaokiuka matumizi sahihi ya barabara pamoja na kuongeza juhudi katika kutoa elimu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa