• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TOENI TAARIFA YA MAPOKEZI

Posted on: October 19th, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa mkoa wa shinyanga Mhe. Christina Mndeme leo tarehe 19 Oktoba, 2023 amekutana na Maafisa Tarafa, watendaji wa kata, mitaa na vijiji kutoka katika Halmashauri ya Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kwa lengo la kufahamiana, kuhuisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya kila siku sambamba na kujadili kero na changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi ili kuwezesha wepesi katika utumishi wao kwa wananchi wetu huku akiwataka umuhimu wa utoaji wa taatifa ya mapokezi ya fedha za miradi katika maeneo yao.

Hayo yamesemwa leo na Mhe. Mndeme katika ukumbi wa John Paul - Kahama amnapi pamoja na mambo mengine amewapongeza sana watumishi hawa kwa kazi nzuri wanazozifanya katika maeneo yao kwa ajili ya kuwaletea maendeleo jambo ambalo limekuwa likisisitizwa mara nyingi na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan huiu akiwaelekeza kwenda kusimamia vema upatikanaji wa pembejeo za kilimo kwa wakulima ili wazipate kwa wakala waliothibitishwa na mamlaka.

"Nendeni mkatoe taarifa za kukiri mapokezi ya fedha zinazoletwa kwenu kutoka serikalini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ili wananchi wawezekujuwa kazi nzuri inayofanywa na serikali yao pamoja na utoaji taarifa wa mapato na matumizi," alisema Mhe. Mndeme.

Pamoja na mambo mengine, Mhe. Mndeme amewataka watalaam hao kwenda kuelimisha wananchi juu ya kuchukua tahadhari ya mvua za juu ya kiwango zilizotangazwa ili waondoke kwenye maeneo yote hatarishi, kuweka daftati la wageni kila mtaa na vijiji ili kudhibiti uhalifu.

Awali Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo @sizatumbo aliwataka watumishi wote kuwa na weledi, maadili, ubunifu na kufuata taratibu za kiutumishi katika kufuatilia stahiki zao.

Mhe. Mndeme amemaliza ziara ya siku mbili katika wilaya ya Kahama ambapo alikuwa na mwenyeji wake Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita ambapo kikao hiki kilitanguliwa na sanjo ya walinzi wa jadi wa mikoa 5 ya kanda ya ziwa iliyofanyika Kata ya Busangi - Msalala.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa