• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TTCL yazindua huduma za 3G/ 4G Shinyanga

Posted on: October 23rd, 2017

Kampuni ya simu Tanzania imezindua rasmi huduma za 3G/4G katika Mkoa wa Shinyanga katika hafla fupi iliyofanyika leo kwenye viwanja vya Ofisi ya TTCL Mkoa ikiwa ni kutekeleza mpango mkakati wake wa Biashara wa miaka mitatu 2016 -2018 unaolenga kuboresha na kuleta huduma mpya katika soko na kuongeza tija na uwajibikaji.

Akizindua huduma hiyo, Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amesema kuwa uzinduzi wa huduma hii ni wa kipekee kwa TTCL na Sekta nzima ya mawasiliano Mkoani na Tanzania kwa ujumla.

Amewaomba wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kutumia mtandao wa simu wa TTCL ambayo ni mali ya Watanzania kwa asilimia 100.

"Wito wangu kwa Wananchi na Wakazi wa Mkoa wa Shinyanga, Turudi Nyumbani, tutangulize uzalendo kwanza kwa kutumia huduma za TTCL ambayo ni Kampuni yetu ya kizalendo na mali ya Watanzania kwa 100%"

Ameipongeza pia kampuni ya TTCL kwa kusimamia na kuendesha miradi mikubwa ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na Kituo cha Kimataifa cha kutunzia kumbukumbu.

Aidha, Mhe. Telack ameitaka kampuni ya TTCL kubuni mbinu za kujitangaza na kuvutia wateja, ishindane sokoni na iongoze kwa kuwajali wateja na kutoa huduma bora za uhakika zenye gharama nafuu ambazo wananchi wa kawaida watazimudu ili wananchi wapate sababu za msingi za kurudi kutumia mtandao wa TTCL.

Naye Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Bw. Waziri Waziri Kindamba amesema kuwa uzinduzi huu unaongeza idadi ya Mikoa iliyofikiwa na huduma hii kuwa 16 katika Tanzania Bara ambapo ameongeza kuwa, huduma hii imeshafika pia na Tanzania Visiwani yaani Unguja na Pemba.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa