• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TUMEKUJA SABASABA KUHAMASISHA WAWEKEZAJI – RC. MBONI MHITA

Posted on: July 4th, 2025

Sabasaba 2025.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita mimi amewaongoza Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa kushiriki kikamilifu katika mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Bi. Latifa M. Khamis kwenye ofisi yake iliyopo ndani ya Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) akiibeba dhamira ya dhati ya Mkoa ya kuja kuhamasisha wawekezaji zaidi kuja mkoani Shinyanga. 

RC. Mboni alisema hayo Julai 4, 2025 huku akisisitiza kuwa pamoja na kuratibu ushiriki wa wafanyabiashara mkoani Shinyanga kuleta bidhaa zao katika Maonesho hayo lakini pia lengo mahsusi Ofisi yake ni kuja kuhamasisha wawekezaji kuwekeza katika Mkoa wa Shinyanga huku akitumia fursa hiyo kutoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuangazia Mkoa wa Shinyanga wwnye rasilimali nyingi na muhimu kama kitovu kipya cha fursa na maendeleo ya uwekezaji nchini.

"Sisi Mkoa wa Shinyanga pamoja na mambo mengine tumekuja katika Maonesho haya ya Sabasaba tukiwa na Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa kuhamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuja mkoani kwetu kwani tuna fursa lukuki, rasilimali zote muhimu tunazo, na kwamba tutatumia vema Maonesho haya kujitangaza Shinyanga kuwa ni Mkoa wa Kimkakati na sasa sisi Kitovu Kipya cha fursa za maendeleo ya uwekezaji nchini," alisema RC. Mboni.

Rc. Mboni Mhita @mboni_mhita anakuwa Mgeni Maalum wa siku katika Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba 2025 msimu wa 49 yanayofanyika katika Kiwanja cha J.K Nyerere Barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM APONGEZA USHIRIKI WA MKOA WA SHINYANGA KATIKA MAONESHO YA SABASABA.

    July 06, 2025
  • RC. MBONI ATOA WITO KWA TISEZA KUTANGAZA FURSA KUU YA KONGANI YA UWEKEZAJI BUZWAGI

    July 05, 2025
  • MHE. RIDHIWANI KIKWETE AWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA MKOA WA SHINYANGA KWENYE MAONESHO YA SABASABA

    July 05, 2025
  • KATIBU TAWALA WILAYA YA KAHAMA AWAPONGEZA WASHIRIKI WA MAONESHO YA SABASABA 2025 KUTOKA MKOA WA SHINYANGA

    July 05, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa